Nangose 1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,207
- 6,786
Hilo la kusema ndo umejua Leo ni UNAFIKI uliikomaa...Leo ndo nimegundua kwa nn Tanzania kila mwaka kwenye viwango vya fifa tuna cheza kwenye ya 100+
Shame to you. Wivuuuuuuuuuuu
Hilo la kusema ndo umejua Leo ni UNAFIKI uliikomaa...Leo ndo nimegundua kwa nn Tanzania kila mwaka kwenye viwango vya fifa tuna cheza kwenye ya 100+
Umegundua nini mkuu hebu nijize nami nikae naloLeo ndo nimegundua kwa nn Tanzania kila mwaka kwenye viwango vya fifa tuna cheza kwenye ya 100+
SawasawaPole sana kwa kuchelewa kugindua. Mimi nimegundua tokea tarehe 6 kwenye mechi ya timu iliyopanda daraja Ihefu vs Simba.
Hata mikia wana safari ndefu maana wanakoelekea hata hawakujuiYanga imeshinda lakini kwa mpira ule mna safari ndefu sana
Hivi wewe hujui kuandika kiswahili ama?Simaba kashindada gapapi?
Ndo nn etySimaba kashindada gapapi?