tzhumoally
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 412
- 156
- Thread starter
-
- #21
Sikatai mkuu ila sio wote na kuepuka hvy ndio nimetoa condition za kupima ili nisionekane tapeli..,Ndio hivyo.uzoefu unaonesha hivyo.wanasumbua sana hawa jamaa.
Kilimanjaro utafika?Wakuu mimi ni kijana niliehitimu chuo hivi karibuni,kutokana na issue za ajira kuwa ngumu nimeamua kujiajiri mwenyewe kwahio nahusika na upima ardhi wa aina yoyote kuanzia cadastral surveying,topographic surveying,engineering surveying,GIS and etc..vile maisha ya sahivi kuaminiana imekua ni vigumu mimi nafanya kazi kwa condition ifuatayo
1.Utalipia hela ya ukaguzi wa eneo lako ili kujua kama linapimika ama la arround 100k-150k kwa dar(kutokana na location ya site ilipo)
2.kama eneo lako linapimika na halina mgogoro wowote basi tutaandikishiana kwa mwanasheria nitafanya kazi kwa gharama zangu mpaka nitakapokukabithi approved plan yako..baada ya hapo utanilipa changu
Nafanya hivi kwa vile mtu kama hakujui sio rahisi kukuamini 100% ila kama upo interested tufanye kazi maisha yaende
My contacts
0787935399(whatsapp+calls)
Nafika mkuu..ni kuelewana tuKilimanjaro utafika?
2m? Hawa jamaa wanaopima huku mjini (kupitia serikali za mtaa) kwa gharama ya laki 2 ni matapeli au?
2M boss nafanya kwa dar na pwani ila nje ya mkoa bei inapungua..Shamba LA ekari nne linaweza kugharimu kiasi gan mpka kupata hati? Liko kagera mkoan
Hapo mnashare cost kwa vile mpo wengi..maana bei ya kupima kiwanja kimoja kama ni 1.5M hata kama vipo 20 kwa eneo moja basi haizidi 2.5M..kama vipo block moja ndio rahisi zaidi2m? Hawa jamaa wanaopima huku mjini (kupitia serikali za mtaa) kwa gharama ya laki 2 ni matapeli au?
Mpaka hati boss 1.5M nafanya ila maelewano yapo kidogoNina kashamba kangu heka na nusu mkuu Mlandizi, itagharimu kiasi gani kupima?
Shiukran mkuu ngoja nijipange then nitakutafuta.........nimechukua namba ya sim mkuuMpaka hati boss 1.5M nafanya ila maelewano yapo kidogo
Okay inshallah hamna shida mkuuShiukran mkuu ngoja nijipange then nitakutafuta.........nimechukua namba ya sim mkuu
Wakuu mimi ni kijana niliehitimu chuo hivi karibuni,kutokana na issue za ajira kuwa ngumu nimeamua kujiajiri mwenyewe kwahio nahusika na upima ardhi wa aina yoyote kuanzia cadastral surveying,topographic surveying,engineering surveying,GIS and etc..vile maisha ya sahivi kuaminiana imekua ni vigumu mimi nafanya kazi kwa condition ifuatayo
1.Utalipia hela ya ukaguzi wa eneo lako ili kujua kama linapimika ama la arround 100k-150k kwa dar(kutokana na location ya site ilipo)
2.kama eneo lako linapimika na halina mgogoro wowote basi tutaandikishiana kwa mwanasheria nitafanya kazi kwa gharama zangu mpaka nitakapokukabithi approved plan yako..baada ya hapo utanilipa changu
Nafanya hivi kwa vile mtu kama hakujui sio rahisi kukuamini 100% ila kama upo interested tufanye kazi maisha yaende
My contacts
0787935399(whatsapp+calls)
Nipo sinza mkuu,hamna shida muda wowote wewe nijulishe tuKwa Dar uko wapi ? nafikiria kukucheki weekend nikuchukue ukaone site
Naomba tutafutane mwishoni mwa mwezi June. Tuna heka kama 15Hata hivyo sio mbaya..muhimu ni makubaliano tu mkuu
Hamna shida mkuuNaomba tutafutane mwishoni mwa mwezi June. Tuna heka kama 15