Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
I'm interested. Naomba unipatie description ya kazi kwa upana zaidi, hata kwa PM ukiweza. Thanx!
sawa nitakutumia stay put sawa.
I'm interested. Naomba unipatie description ya kazi kwa upana zaidi, hata kwa PM ukiweza. Thanx!
sawa nitakutumia stay put sawa.
woooow, can't wait!!!
I know wot NN and Yo YO gon say.... ha ha ha ha
FAIL!!!! Ain't gon say none...
you poutin'....?!! lol
Jamani kuwa tu ulaya ni maendeleo, nyie vipi mnapinga maendeleo?
Jamani kuwa tu ulaya ni maendeleo, nyie vipi mnapinga maendeleo?
Hongera Teddy!! Jamani hadi kufikia hapo anastahili pongezi. Hivyo watanzania tutakua lini? Watu bado wana fikra za miaka ya 47, hii ni karne ya 21 wajemeni, wenye mawazo ya enzi za Nyerere mbaki hivyo hivyo.
tehe tehe shem temea mate chini....Tk mwenyewe ana maneno hayaI hate Yo Yo and this gal.....Mungu mlaani Yo Yo awe mwana si ridhiki na TK awe bubu! akose utangazaji...sorry I wont vote anyway!
Alivyoulizwa inakuwaje chanel hio inahusiana vipi na mambo haya alijibu kuwa..."well, nilienda kufanya interview sikujua kama kutakuwa na mambo ya picha au competitions, ila ndio hivyo nimekuwa mmoja wa washindani".
…mambo mengi kama the most shocking reality things, cars, I mean vitu vingi vinavyopendwa na wanaume mostly"
Mie binafsi sijapendezwa kabisa na baadhi ya picha ambazo zinaonyesha dhahiri uke wake hadharani maana nimejiuliza iweje interview ya kuwa mtangazaji upige picha za namna ile?
why shem? kuweka picha na habari hizi ndio niwe punga?
Ndio sababu haswa ya mie kufunga kupunguza dhambi.....shem mambo ya majuu haya bana si unaona wadogo zake wakina sasha na pretty wanaunga mkono.......mpigie kura banaUnashabikia mambo yanayokiuka maadili ukizingatia Ramadan imekaribia!
what?kuvaa bikini ni kudhalilishwa?since when?.mbona sasa unaleta issue za miaka ya 47?hii ni karne ya 20 jamani hebu try to think about it.bado tuu mnataka watu waishi kama walivyoishi wazazi wetu common now.Hebu give her credits at least ana hustler kihalali na wala siyo kwa kujiuza au kula rushwa.
TK yupo juu kinoma alafu very down to earth,get to know her kabla hujam-judge.