Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,553
- 1,149
Habari wakuu, tumekuwa na tabia ya kuwalaumu waandaaji wa KTMA kuwa wana upendeleo hasa kwenye Category za Hip Hop, hebu kabla hatujaanza kuwalaumu kili kuwa wanawapa tuzo washiriki wasiostahili, take your time and vote for Fid.Q anawania tuzo kwenye Category za Msanii bora wa HipHop na Wimbo wake wa "Siri ya mchezo" unawania tuzo ya wimbo bora wa HipHop. Vote for this Legend, He's simply the best.
Vote kupitia link Hii hapa
Piga Kura - KTMA 2014
Vote kupitia link Hii hapa
Piga Kura - KTMA 2014