Mpiga kura mwenye miaka 100 aongea

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,274
24,140
April 13, 2020
Mbarali , Mbeya

Simulizi za BABU Jason A. Halinga mwenye Miaka 100, Watoto 78 na Wake NANE,amezaliwa Februari 23,1920 huko mkoani Mbeya na kuonesha Kadi ya Mpiga Kura cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania asimulia.




Jason A. Halinga mwenye nywele za mtindo wa rasta ndefu mpaka kupita mabegani zenye mngao wa rangi nyeusi titii huku chembe chache sana za mvi nyeupe zikijitokezo sehemu chache mno ikiwa utamuangalia kwa makini. Mzee huyu anasemea hatumii mafuta ya kupaka mwilini wala kuogea sabuni.

Babu Jason Halinga anasema u-rastamani ni jadi yao ktk ukoo wenye masharti na hata wazee wake akiwemo babu yake aliyefariki akiwa na miaka 167 walikuwa na mtindo huo wa nywele za kusuka. Enzi hizo kulikuwepo pia chifu Malema aliyewashangaza waJerumani kwa kutengeneza mvua kipindi cha kiangazi mwezi Agosti.

Siri ya umri mrefu ni kula vyakula vyenye virutubisho vya asili kama maziwa, mtama, mahindi yasiyo nyunyuziwa madawa n.k Pia matunda pori na mizizi pori ilikuwa ni sehemu ya vyakula vilivyoliwa iwe wapo safarini mwituni au majumbani. Pia mafuta kidogo ya samli na elizeti hutumia.

Babu Halinga pia anashangaa watoto wa siku hizi kuumwa kiuno wakati enzi zao ukisema kiuno chauma unaishia kucharazwa bakora. Na ilikuwa mwiko kusema maana wazee nao waseme nini kuhusu maumivu ya viungo.

Swali kubwa ni Tume ya Uchaguzi ya Taifa imewezaje kumpatia Kadi ya Mpiga Kura kama utambulisho wake kuwa ni kikongwe wa miaka 100 wakati wajihi wake, utimamu wa kumbukumbu n.k ni tofauti na mwenye kadi hiyo.

Source : MbeyaYetuOnline TV
 
April 13, 2020
Mbarali , Mbeya

Simulizi za BABU Jason A. Halinga mwenye Miaka 100, Watoto 78 na Wake NANE,amezaliwa Februari 23,1920 huko mkoani Mbeya na kuonesha Kadi ya Mpiga Kura cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania asimulia.




Jason A. Halinga mwenye nywele za mtindo wa rasta ndefu mpaka kupita mabegani zenye mngao wa rangi nyeusi titii huku chembe chache sana za mvi nyeupe zikijitokezo sehemu chache mno ikiwa utamuangalia kwa makini. Mzee huyu anasemea hatumii mafuta ya kupaka mwilini wala kuogea sabuni.

Babu Jason Halinga anasema u-rastamani ni jadi yao ktk ukoo wenye masharti na hata wazee wake akiwemo babu yake aliyefariki akiwa na miaka 167 walikuwa na mtindo huo wa nywele za kusuka. Enzi hizo kulikuwepo pia chifu Malema aliyewashangaza waJerumani kwa kutengeneza mvua kipindi cha kiangazi mwezi Agosti.

Siri ya umri mrefu ni kula vyakula vyenye virutubisho vya asili kama maziwa, mtama, mahindi yasiyo nyunyuziwa madawa n.k Pia matunda pori na mizizi pori ilikuwa ni sehemu ya vyakula vilivyoliwa iwe wapo safarini mwituni au majumbani. Pia mafuta kidogo ya samli na elizeti hutumia.

Babu Halinga pia anashangaa watoto wa siku hizi kuumwa kiuno wakati enzi zao ukisema kiuno chauma unaishia kucharazwa bakora. Na ilikuwa mwiko kusema maana wazee nao waseme nini kuhusu maumivu ya viungo.

Swali kubwa ni Tume ya Uchaguzi ya Taifa imewezaje kumpatia Kadi ya Mpiga Kura kama utambulisho wake kuwa ni kikongwe wa miaka 100 wakati wajihi wake, utimamu wa kumbukumbu n.k ni tofauti na mwenye kadi hiyo.

Source : MbeyaYetuOnline TV
kaka Tume katika maelezo yake inasema kwamba watu wenye sifa ya kuwa na kadi ya mpiga kura ni lazima awe Raia wa Tz, na awe na umri wa miaka 18 na zaidi au atafikisha umri huo ifikapo siku ya uchaguzi mkuu ujao.
hivyo babu ana stahili kuwa na kadi hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
April 13, 2020
Mbarali , Mbeya

Simulizi za BABU Jason A. Halinga mwenye Miaka 100, Watoto 78 na Wake NANE,amezaliwa Februari 23,1920 huko mkoani Mbeya na kuonesha Kadi ya Mpiga Kura cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania asimulia.




Jason A. Halinga mwenye nywele za mtindo wa rasta ndefu mpaka kupita mabegani zenye mngao wa rangi nyeusi titii huku chembe chache sana za mvi nyeupe zikijitokezo sehemu chache mno ikiwa utamuangalia kwa makini. Mzee huyu anasemea hatumii mafuta ya kupaka mwilini wala kuogea sabuni.

Babu Jason Halinga anasema u-rastamani ni jadi yao ktk ukoo wenye masharti na hata wazee wake akiwemo babu yake aliyefariki akiwa na miaka 167 walikuwa na mtindo huo wa nywele za kusuka. Enzi hizo kulikuwepo pia chifu Malema aliyewashangaza waJerumani kwa kutengeneza mvua kipindi cha kiangazi mwezi Agosti.

Siri ya umri mrefu ni kula vyakula vyenye virutubisho vya asili kama maziwa, mtama, mahindi yasiyo nyunyuziwa madawa n.k Pia matunda pori na mizizi pori ilikuwa ni sehemu ya vyakula vilivyoliwa iwe wapo safarini mwituni au majumbani. Pia mafuta kidogo ya samli na elizeti hutumia.

Babu Halinga pia anashangaa watoto wa siku hizi kuumwa kiuno wakati enzi zao ukisema kiuno chauma unaishia kucharazwa bakora. Na ilikuwa mwiko kusema maana wazee nao waseme nini kuhusu maumivu ya viungo.

Swali kubwa ni Tume ya Uchaguzi ya Taifa imewezaje kumpatia Kadi ya Mpiga Kura kama utambulisho wake kuwa ni kikongwe wa miaka 100 wakati wajihi wake, utimamu wa kumbukumbu n.k ni tofauti na mwenye kadi hiyo.

Source : MbeyaYetuOnline TV

LEGENDS ARE BORN ON FEBRUARY, nimeamini. Kila la Kheri Babu.
 
Hakuna mwafrika anaweza kufikisha miaka 167. Aidha miaka 100 si mchezo. Wengi wanaofikisha hiyo 100 - 130 ni akinamama. Ni kawaida wanaume kujipa miaka zaidi ya miaka halisi wakati akinamama wakipunguza mfano Wema hajafika mpaka leo 30
 
Hakuna mwafrika anaweza kufikisha miaka 167. Aidha miaka 100 si mchezo. Wengi wanaofikisha hiyo 100 - 130 ni akinamama. Ni kawaida wanaume kujipa miaka zaidi ya miaka halisi wakati akinamama wakipunguza mfano Wema hajafika mpaka leo 30
Ndiyo maana,kumbe hata umri wa kushika mimba hajafikisha!
 
Huyo Rasi mwambie akuonyeshe mtoto wake wa kwanza au mke wake wa kwanza ,pia uliza wazee aliozaliwa nao,hana hata miaka 65,ni mazingaombwe tu.
 
Uyo mzee avuti bange kweli,tusijekuta tunapoteza muda apa kumbe Ni bangi inazunguka kichwa

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Back
Top Bottom