Mpiga Guiter la bess na Solo anahitajika

Mpiga Guiter la bess na Solo anahitajika

Joined
Jun 19, 2017
Posts
30
Reaction score
18
Mpiga guiter la bess na solo anahitajika sana katika studio yetu mpya. So kama upo hapa jukwani au unamfahamu mzoefu wa kazi hii; piga 0752268396.

Tupo mji mdogo wa lamadi wilaya ya busega.

Itapendeza kama anafahamu kupiga keyboard.
 
Mpiga guiter la bess na solo anahitajika sana katika studio yetu mpya. So kama upo hapa jukwani au unamfahamu mzoefu wa kazi hii; piga 0752268396.

Tupo mji mdogo wa lamadi wilaya ya busega.

Itapendeza kama anafahamu kupiga keyboard.


Najuta kwanini nilikuwa namkimbia Mwalimu wa Muziki Shuleni enzi hizo kwani leo nami ningekuwa ama nalikung'uta Bass au Solo Gitaa hakyanani.
 
Najuta kwanini nilikuwa namkimbia Mwalimu wa Muziki Shuleni enzi hizo kwani leo nami ningekuwa ama nalikung'uta Bass au Solo Gitaa hakyanani.
utalikungúta la dally kimoko si muda mrefu maana umezidi kujisifia mkuyenge
 
mi napulizaga filimbi..
indian flutes.
 
Nichek...napga bass....keyboard
 
Vp, prodyuza mnae? Mkuu ninauzoefu wa kazi hyo. Baadhi ya kazi zangu ni pamoja na tangazo la [HASHTAG]#OnjaMsisimko[/HASHTAG]
 
Najuta kwanini nilikuwa namkimbia Mwalimu wa Muziki Shuleni enzi hizo kwani leo nami ningekuwa ama nalikung'uta Bass au Solo Gitaa hakyanani.
Ungeuliza wanalipa shs ngapi kabla hujaanza kujujuta.
 
Back
Top Bottom