Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
Yeah nikweli ndomana wakati wakitovu wazazi wengi hawalaliHivi hii nadharia ni ya kweli mkuu au ni imani tu????
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nikweli ndomana wakati wakitovu wazazi wengi hawalaliHivi hii nadharia ni ya kweli mkuu au ni imani tu????
Acha kulialia dogo...waulize wenye wanawake "loudspeakers" wanavyokimbia majumbani mwao wenyewe.



Aisee kama hapo chenga dah, nshakuwa na mpenzi very intelligent, mchangamfu,muongeaji very focused na life na mwenye ndoto sana ila hapo akawa anafeli...Hapo kwenye kuwa nasty n romantic sasa ni moja ya tatizo ambalo nimekumbana nalo mkuu, sio mtu wa vitu hivo kabisa
unabahati kupata mwanamke kama huyo,jitahidi mpende sana Duniani hakuna mkamilifu kwa mtazamo wangu namuona kama mwanamke makini,Mtulivu na msikivu kwa sababu anapenda kukusikiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo bado hajakuzoea anakuonea aibu hebu mpe mda kwanza hakunaga mwanamke asiejua kuongea
Sent using Jamii Forums mobile app


Aisee kama hapo chenga dah, nshakuwa na mpenzi very intelligent, mchangamfu,muongeaji very focused na life na mwenye ndoto sana ila hapo akawa anafeli...
Nilivumilia ila dah situation hio dogo ajiongezi yani unamsema wee after 2 days mmerudi kulekule, hawezi hata kukujulia hali kimahaba..No mornings no umekula no bby beibes.
Sex napo alikuwa na low drive, gogo type na mvivu kimoko kashatepeta ataki tena ati anaumia. Mwishowe ilibidi nibwage though nilimpenda sana, hakuwa malaya na tunaheshimiana.
Namuonea imani huyo wako maana kama hayawezi na kule basi hapo chances za kuendelea nae ni a single ounce.
Kama huamini zaa mtoto wako wakiume halafu mwachie kitovu kiangukie utaonaHapa tafiti za twaweza inabidi ziusike
Daaaah hivi unataka kuniambia hii kitu ni common mkuu???, na sababu zake ni nini? Vipi ni njia gani ulizotumia kumuweka sawa??
Asee mi mwanamke asiye romantic dah pagumu. Demu hana kauli laini sasa hapo hata umepata stress hamna hata kukubembeleza zaidi ya kuambiwa polee.Hehehe No bebeee bebeeeee (in Ray vanny voice)