Ha ha ha yaani wewe.Ulimtumia pesa lini mara ya mwisho???
Ila kweli ukute hajamtumia hela unadhani kuna furaha wakati watu wanalala njaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha yaani wewe.Ulimtumia pesa lini mara ya mwisho???
Huu sasa ni upuuzi... Hananichukia ndo nini? Itafika mahali tutashindwa kuwavumilia
Hitakua haupambani na mahusiano yako
love thé love or hâte thé love.....
Usimjibu chochote
ni vyema na busara ukaa kimya na kuendelea kufanya mambo yako mengine,
Lakini jaribu kuangalia ni sababu / chanzo kilicho pelekea akakuambia hayo maneno yake.
Kama hakuna basi huna budi kukaa kimya.
MY FRIEND NAKUHAKIKISHIA UKIACHANA NA HUYU MWANAMKE HAKIKA MUNGU ATAKUBARIKI .......mpenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini
Muulize kwa upole kabisa ukiwa mtulivu kwanini hanakuchukia, umekosea wapi ili muyajenge sio kuchukia bila kusema tatizo!mpenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini
Hahahaha.....humenichekesha sana adi nikajihuliza umewaza nini.hahahaha!;'hapambane' na 'itaji' lake
mpenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini