LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Mwambie na wewe kua ulikua unamvumilia tu,madhari kaongea yeye kakurahisishia !! Mtakie kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
We endelea kujitoa ufahamu sooner or later utakipata unachokitakaMpenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini
We ni Me au Ke?Mpenzi wa kanambia ananichukia na hataki hata kunisikia, kosa silijui.
Nifanye nini?
Ulikuwa muda wa morning gloryNdio mida yako?
Madame S
Ulikuwa muda wa morning glory




nahua waonekana humu usiku had usiku tu?Haha haha mchana hamna network huku kwangu.nahua waonekana humu usiku had usiku tu?
Madame S

Haha haha mchana hamna network huku kwangu.![]()
![]()
![]()





hiyo hatari eti msalimie my wiiThanks.Saana.hiyo hatari eti msalimie my wii
Madame S