MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,069
- 713
Wakuu nisaidieni ushauri demu wangu ninaetarajia kumuoa nimempa ruhusa kwenda beach na rafiki zake baadaye nikapita huko nikamkuta anabebwa na kijana juu kwa juu nikakasirika nikamtwanga kibao nikarudi home.
Aliporudi home nikamuuliza akajibu eti hapakuwa kitu kibaya. Kwa kifupi nimeumia sana, badala ya kunipa majibu eti amefunga bag ameondoka home eti nimemuonea.
Naombeni msaada nani ana makosa?
Aliporudi home nikamuuliza akajibu eti hapakuwa kitu kibaya. Kwa kifupi nimeumia sana, badala ya kunipa majibu eti amefunga bag ameondoka home eti nimemuonea.
Naombeni msaada nani ana makosa?
