Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Nigga you must be damned, is you really smashin that round thing?Ima not joking dude
Nigga you must be damned, is you really smashin that round thing?Ima not joking dude
Nduguyangu wanawake wengi wako hivyo siku hizi, wewe ulikuwa kama gurudumu la spear tu na wahenga walisema ukiona fala ameachwa ujue kuna mjaja kapendwa, pole aisee ila usikate tamaa upande wa pili wa picha unaweza ukawa umeondolewa mzigo ambao ungekusumbua mwishowe katika mafanikioni omba Mungu utapata kizuri zaidi ya hicho.Wakuu habari za muda huh...
Bila kupoteza time, Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwa muda Wa mwaka mmoja sasa, wiki kadhaa zilizopita aliniaga anaenda Arusha amepata kazi katika hotel ya kitalii
Ila Jana kanitumia picha WhatsApp akiwa na jamaa mwengine na kunitambulidha kuwa ni mume wake mtarajiwa...
Wakuu nimechanganyikiwa na ujumbe huu.. Binafsi bado nampenda Sana na sijategemea hili kwa muda huu.. Mimi ni mwanaChuo mwaka Wa pili UDSM na kuhusu mapezi nilikua namtimizia barabara mpaka mwenyewe anafurahia show.
Najiuliza nini kimemsibu!!!
Naomba ushauri wakuu
Km unataka umteke Tena usimuoneshe km umestishwa ama amepagawa kutokana na hyo habar. Wewe wa-wish maandalizi mema na chukulia km hilo Jambo halikuumi Aya kidogo.Wakuu habari za muda huh...
Bila kupoteza time, Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwa muda Wa mwaka mmoja sasa, wiki kadhaa zilizopita aliniaga anaenda Arusha amepata kazi katika hotel ya kitalii
Ila Jana kanitumia picha WhatsApp akiwa na jamaa mwengine na kunitambulidha kuwa ni mume wake mtarajiwa...
Wakuu nimechanganyikiwa na ujumbe huu.. Binafsi bado nampenda Sana na sijategemea hili kwa muda huu.. Mimi ni mwanaChuo mwaka Wa pili UDSM na kuhusu mapezi nilikua namtimizia barabara mpaka mwenyewe anafurahia show.
Najiuliza nini kimemsibu!!!
Naomba ushauri wakuu
Wanazuga tu hao. Afu kajamaa kana hasira na mimi hatari.Hahahahah utazingua kichizi man...Hao jamaa wapo hubani kinomanoma!
Sasa si unamendea kuchuli yake!Wanazuga tu hao. Afu kajamaa kana hasira na mimi hatari.
Shukuru mungu amekwambia ukweli na be a man to except it and move on, ningekua wewe ninge jitahidi sana kusoma kwa bidii ili niweze kuja kupata kazi itakayo nilipa sanaa,Show mkuu sio issue sanaa hata ungesimamia kucha sana sana ungejichosha tuu mwili,lakini ungekua na Cash hata ungekua unaipapasa tuu ungeitwa fundi na hakuna kama wewe,lakini show bila hela haiwii.....Wakuu habari za muda huh...
Bila kupoteza time, Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwa muda Wa mwaka mmoja sasa, wiki kadhaa zilizopita aliniaga anaenda Arusha amepata kazi katika hotel ya kitalii
Ila Jana kanitumia picha WhatsApp akiwa na jamaa mwengine na kunitambulidha kuwa ni mume wake mtarajiwa...
Wakuu nimechanganyikiwa na ujumbe huu.. Binafsi bado nampenda Sana na sijategemea hili kwa muda huu.. Mimi ni mwanaChuo mwaka Wa pili UDSM na kuhusu mapezi nilikua namtimizia barabara mpaka mwenyewe anafurahia show.
Najiuliza nini kimemsibu!!!
Naomba ushauri wakuu