demu wangu huyu nimekuwa
naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200
siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya
kazi
jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa
kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa
nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.