Hahaha!nimeipenda hiiYoungsharo hawezi kuwa na mke wala kazi..usipoteze muda kumshauri mtu anayeitwa youngsharo
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........
huyo yupoje?.
huyo kweli ni mke au changu?habari wanajukwaa,
labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.
Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.
Kalilie kwenu jinga kubwa
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........
Mtumie ujumbe kuwa unamkatia RB na kutoa tangazo (pamoja na picha zake) kwenye magazeti na mitandao ya jamii kuwa anatafutwa kwa wizi, atarudi mwenyewe tena kimya kimya kama alivyoondoka.
Kuna ndugu yangu alikuwa anamdai mtu pesa zake akatumia hii mbinu, karudishiwa pesa zake zote ndani ya siku mbili tu.
Pole sana!!
Lete fomu ya mchango nikuchangie ukanunue vitu vingine!!
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........
Kalilie kwenu jinga kubwa
Amevaa mini nyeusi na kitop white.