ashrei brown
Member
- Dec 10, 2012
- 9
- 3
Habari wana JF,nampenzi nampenda sanaa mambo yote yuko poa si mkorofi, ukiwa nae pamoja ana care..tatizo moja linaniumiza kichwa:
1.ni nadra kwake kukutakia khali iwe ni asubuhi,mchana wala usiku mpaka umuanze.unaweza kumpigia asipokee na badae ata ku sms sorry nilikuwa nimelala..au niko busy basi
2.Hajawahi kabisa kusema mpenzi wangu tutoke tuende sehemu fulani makutanio yetu ni nyumbani kwake tunamaliza mchezo ananirudisha home..kukutana tena mpaka mimi nimuanze ataniambia njoo najipeleka mwenyewe.
3.Leo ni suku 7,tangia niseme simpigii baada ya kuniahidi tutaaonana kwa issue fulan na hakuonekana nikakasirika na kumtumia sms za lawama mpenzi wangu huyu hapigi simu wala sms, namiss sana najilaumu kwanini simtafuti moyo unahangaika nashindwa nifanyeje kurudisha mawasiliano nahisi atanidharau.
Ushauri jamani.
1.ni nadra kwake kukutakia khali iwe ni asubuhi,mchana wala usiku mpaka umuanze.unaweza kumpigia asipokee na badae ata ku sms sorry nilikuwa nimelala..au niko busy basi
2.Hajawahi kabisa kusema mpenzi wangu tutoke tuende sehemu fulani makutanio yetu ni nyumbani kwake tunamaliza mchezo ananirudisha home..kukutana tena mpaka mimi nimuanze ataniambia njoo najipeleka mwenyewe.
3.Leo ni suku 7,tangia niseme simpigii baada ya kuniahidi tutaaonana kwa issue fulan na hakuonekana nikakasirika na kumtumia sms za lawama mpenzi wangu huyu hapigi simu wala sms, namiss sana najilaumu kwanini simtafuti moyo unahangaika nashindwa nifanyeje kurudisha mawasiliano nahisi atanidharau.
Ushauri jamani.