Nassib nyika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 962
- 471
Ni matumaini yangu nyie ni wazima wa afya, ni juzi tu nimejiingiza katika mahusiano na msichana mmoja hivi yapata miezi miwili lakini oversuddenly juzi tumekutana kanitamkia eti tuachane. Nilimuliza sababu anasema eti kaamua tu.
Jamani nyie wadada kwanini lakini?
Jamani nyie wadada kwanini lakini?