Mpenzi wangu kaniacha ghafla bila kunieleza sababu

mkuu kwanza yaonyesha itkuwa huna hela ..pili hujui kupiga show ..yaani hata ujanja wakutumia vumbi LA mkongo hujui
hujamvutia kabisaaa na waweza kuta una kibamia pia..au kama una tango bado hujajua kulitumia..trust me katka dunia ya sasa kama huna hela jitahidi ujue kugegeda ..kinyume nahapo hkuna 7bu itakayomfnya mwanamke aendelee kuuona umuhimu wako ..
hata kama utakuwa na Tania zenye wasifu wa sifa njema kama pope fransic utakimbiwa tu

pole kwa maumivu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom