Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,842
anaacha kwenda kazini kwa sababu ya kuharibika ngozi?acha utani kaka,labda kama kajiajiri,kama kaajiriwa,mbona ni vigumu?!
Hata kama ameajiriwa...Kwa ajira za serikalini hata usipoenda kazini wiki moja poa tuu...