Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 15,894
- 36,289
Mambo madogo kama hayo huwezi ku solve ukiletewa huu mzigo wa differentiation utatoboa ww
View attachment 3339065
Kuna differentiation gani hapo, mi nimesolvr kwa kichwa tu
Mambo madogo kama hayo huwezi ku solve ukiletewa huu mzigo wa differentiation utatoboa ww
View attachment 3339065
Hebu weka namba yake hapa tumpigie kumwambia apokeeJamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Nani alikudanganya ni wako hadi useme mpenzi wangu.Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Wee jamaaa nimecheka mpaka nimetoka nje hapa 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 kwahyo wewe ni bora hesabu sio mapenzi sioo ahahaha hupendi kabisa mapenzi auX= 50 Y=10 Hiyo siyo differential mkuu. Hiyo Ni Simultaneous.
Jibu ni 10. Sielewi ni kwanini nimesolve swali pasi na kuchangia mada ya mtoa mada. Kweli mimi napenda elimu zaidi kulinganisha na mapenzi
Mimi ni mfano wa kuigwa katika jamiii. Ni mimi tu na Mwl. Nyerere
🤣🤣🤣😂😂😂😂🙌🙌🙌 Mkuu kwa kichwa uwongo bana ujaona square root hapoKuna differentiation gani hapo, mi nimesolvr kwa kichwa tu
'Simu inakatika'!Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
10Mambo madogo kama hayo huwezi ku solve ukiletewa huu mzigo wa differentiation utatoboa ww
View attachment 3339065
Huyo ana ujauzito wa mtu mwingine, pole kwa kuingia hasara ya kumnunulia simu kubwa.Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?