Mkuu pole, ila dalili zote zinaonyesha kuwa umepigwa na sidhani kama kweli huyo mtoto ajaye ni wako. Umechapiwa na wenzako.Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Una uhakika ni mpenzi wako?Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Upo resi sana mkuu, yani wiki mbili tu ushatangazia ukoo mzima.Daah alafu nilikuwa nishawaambia marafiki zana na baadhi ya ndugu zang kama natarajia kupata mtoto...,, ananiumiza sana
Naona nimeupata🕺Kuna wimbo wa Banana alikuwa anaimba "Napiga simu hapokei, akipokea hataki kuongea, akiongea ananikaripia....anapenda maneno maneno"....ngoja niutafute
😂😂😂😂😂 pamoja sana bro
You are genius
😂😂😂😂😂Mambo madogo kama hayo huwezi ku solve ukiletewa huu mzigo wa differentiation utatoboa ww
View attachment 3339065
Kuna pipo hazipo serious humu...😂😂😂😂😂
hahhahaaha ngumu ndioKuna pipo hazipo serious humu...
Mambo mengine ni simple huitaji caluu
X+5=10 find X
Hata hiyo itakushinda Palina
Find X hapo...hahhahaaha ngumu ndio
Acha kumsumbua yuko bize na mpenzi wake.Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
unikome 😆😆Find X hapo...
Aisee ukishindwa humu ondoka kabla sijaita tag la watu wakuungie aiseee 🫰🫰🫰😂
Find X hapo...
Aisee ukishindwa humu ondoka kabla sijaita tag la watu wakuungie aiseee 🫰🫰🫰😂
Wow your genius ....To find the value of x in the equation:
x + 5 = 10
Subtract 5 from both sides:
x = 10 - 5
x = 5