Mfuate alipo.Acha usumbufu.aisee!Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Hapo boya ni wewe.Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Mpigie baba yake mkuu.Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Ni zuzu kabisa huyu!Hapo boya ni wewe.
Pole sana.... kuna walakini kwenye hio mimba.Fuatilia.Daah alafu nilikuwa nishawaambia marafiki zana na baadhi ya ndugu zang kama natarajia kupata mtoto...,, ananiumiza sana
New member bhana🤔Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
X= 50 Y=10 Hiyo siyo differential mkuu. Hiyo Ni Simultaneous.Mambo madogo kama hayo huwezi ku solve ukiletewa huu mzigo wa differentiation utatoboa ww
View attachment 3339065