kiambasabo
Senior Member
- Jun 23, 2015
- 103
- 27
Apige kabla huwa inaniokoaga sana kwenye mapambano magumu.
Apige kabla huwa inaniokoaga sana kwenye mapambano magumu.
Mi namudu DK 30 tu kupiga bao la kwanza hizo mia mbili ni maigizo
Mlie virona 5 vya konyagi kama unapitiaga hz mambo! Au lah gonga asprin 3 then pumzika nusu SAA hatimaye uanze gemu lzma ataomba poo tu.[/QUOTE
Mtakuja kuwaua wenzenu. Asprin tena? Hahaha
makolola
Nina uhakika uko under 30, iko hivi kuna baadhi ya wanawake ngono ndio hobby yao kwahiyo zaidi ya kumuandaa hakikisha round ya kwanza haipungui 30mnts na kila unapokaribia kumaliza chomoa kisha vuta pumzi tatu ndefu kuondoa carbon kwenye mapafu kisha rudi chimbo na unapomaliza round ya kwanza nyweshea nje ya kibubu..!kwa njia hii mnyama hatodhoofika ila hakikisha umeshiba
Tupeni darasa tuko wengi tunaokumbwa na mambo hayo!
ahahahahahaaaa.
Usiwe na papara
kuwa fundi kama xavi,
usiwe na papara kama hazard utachoka haraka
usiwe na uchu wa kufunga magoli kama ronaldo
jua kunyumbulika kama iniesta
usikate tamaa mapema kama rooney
usicheze kwa vurugu kama vidal au gatuso kuwa na stamina kama pogba
funga magoli ya ufundi na uhakika kama ibrahimovic
cheza faulo kwa ufundi kama pirlo, usiteleze teleze uwanjani kama gerard
cheza kwa malengo ya ushindi kama messi
usipende kupaki bus kama mourinho(romance na chumvini)
funga magoli ya vichwa kama varane.
Mwisho tembea na chaki kijana kama arjen roben
makolola
kwahiyo zaidi ya kumuandaa hakikisha round ya kwanza haipungui 30mnts na kila unapokaribia kumaliza chomoa kisha vuta pumzi tatu ndefu kuondoa carbon kwenye mapafu
binti kakuzidi maujuzi usiwe unapump kama unashindilia mahindi kwenye gunia utamchosha mwenzio