Wanaume hudhan idadi ya magoli is a big deal...a really man anacount ubora wa goli with some merits..
*kabla hujaanza mechi jiulize maswali mengi tu, mfano je unajiridhisha mwenyewe au katika tendo hilo unadhamilia kumridhisha pia mwenzio (je utamridhishaje?)
* Ni style zipi zinazokupa hisia kali na kikusababisha kufika kileleni mapema? kama zipo tafadhari zitumie kidogo sana..
* Round ya kwanza hakikisha unatumia kati ya dakika 25-40 without break in between maana uki break utakwamisha safari ya matumaini ya mwenzio
* Hakikisha hutumii style zinazo muumiza mwenzio maana kama anapata maumivu hatafikia kilele kiurahisi
*Round ya pili ndio hasa itakayo determine kama wewe ni mwanaume, tumia kati ya dakika 30-60 kufika kilele (yeye atafika mara 2 au 3) lakini pia itatokana ujuzi flan flan utakaokuqa unafanya in btn
Kwa mimi ninavojua na kwa uzoefu, nikifanya round 4 bila condom, akitoka hapo atahitaji chakula cha kutosha..