Mpenzi wangu Hataki NIOGE nk nk!!...!

Mpenzi wangu Hataki NIOGE nk nk!!...!

Hebu mtest kwa kumtwanga makofi uone atarespond vp! Wengine husingizia mimba kumbe ni nyodo na ukorofi tu ili achezee akili zako.
 
Hebu mtest kwa kumtwanga makofi uone atarespond vp! Wengine husingizia mimba kumbe ni nyodo na ukorofi tu ili achezee akili zako.

Mkuu Sanoyet ,

Siwezi kumtwanga makofi labda niwe mkali kidogo lakini sio kupigana

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni hali ya kawaida kwa wajawazito ingawa wakati mwingine huwa ni madeko na pretending za kufa mtu... Ongeza mapenzi kwa mke wako hasa kipindi hiki kwa ajili ya makuzi mazuri ya mtoto maana makuzi huanzia tumboni... Pia uwe makini maana unaweza kujikuta unapoteza ndoa yako ukifanya masihara...Niliwahi kushuhudia ndoa inavunjika kisa vituko vya mimba...
 
Hiyo ni hali ya kawaida kwa wajawazito ingawa wakati mwingine huwa ni madeko na pretending za kufa mtu... Ongeza mapenzi kwa mke wako hasa kipindi hiki kwa ajili ya makuzi mazuri ya mtoto maana makuzi huanzia tumboni... Pia uwe makini maana unaweza kujikuta unapoteza ndoa yako ukifanya masihara...Niliwahi kushuhudia ndoa inavunjika kisa vituko vya mimba...

Vannele ,

Ni kweli uyasemayo,pia nataka hiki kiumbe kikue chini ya uangalizi wangu inabidi nivumilie tu.nazingatia ushauri wako pia
Asante.
 
Last edited by a moderator:
zote hayo ni kwaajili ya kpnd cha mimba tu yataisha jaman ucjali wala ucwaz jaman
 
Mbona raha tu jamani..wewe hu enjoy?
Pole ni kwa muda tu yataisha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
unaufuata ushauri wa wana jf? itakula kwako, wewe ndio unaemjua mkeo, deal nae the way u know her.
 
Ww lea mimba vzur bana hayo sio ya huku jimalize mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9800using Jamie's
 
Mama kijacho full kudeka utadhani anazaa dunia wakati wenzie wana watoto 12 na jembe walisika mpaka wanaingia kujifungua mfyuuuuuu, mchunie anavyokwambia usimuendekeze, shida yake unuke ili usipendwe na warembo wengine hapo uoga wake unamsumbua tu anaogopa kuibiwa kwakua ana mimba, funga maskio usibishane nae akikwambia usioge oga, akikwambia ooh kuku kama hujiskii uchune uone kama mimba itatoka, mbona mi ninebeba mapacha wote hao na nina dunda haaaa haaaa
 
huyo wa kwake anajifanyisha tu hamnaga kitu kama hicho!!kasikia tu kijiweni na saloon basi anaaply hebu mkaripie uone asipofyata mkia wake atakuchoma na kisu useme ni miiiimba hiyoooo.hata tembo anabeba yake 2years na hana mbwembwe


kumbe wakati mwingine huwa nmafanya makusudi eh?
 
Wakuu salaam,

Naomba ushauri wenu hapa kwenye hili jambo linalonitatiza sana kwa sasa.

Niko kwenye uhusiano na huyu Malkia wangu kwa muda wa miaka sita sasa anaujauzito,lakini toka amekuwa katika hali hiyo Nyumba imekuwa chungu kwangu...
1.Hataki nioge yaani nikirudi kazini suala la kuoga halipo kwahiyo mm huwa inabidi nikienda kazini asubuhi nioge huko huko,anasema kwamba anataka asikie harufu yangu kwahyo huwa analalaga karibu na kwapani ili asikiwe tu ile harufu...

Kampime fasta huyo atakuwa anamimba changa
 
Kwa wajawajizito hali hiyo ni kawaida maana kila mtu anakumbwa na mtihani wake. Pole.
 
wewe ulikuwa hujui kwamba mwanamke akibeba mimba mwanaume huibeba mara mbili? utadeki utachota maji utapika atakudekea kwakila kitu kila saa anumwa tu usiombe uwe na mwanamke mayai mbona cha moto utakiona na bado kama ndo mimba haikupendi nyumba utaiona afadhali kituo cha polisi! bado mabo ya unyumba ndo basi tena ikifikia miezi sita au saba sahau kumuingilia na baada ya kujifungua sahau tendo unyumba kwa miezi kadhaa mbona kazi ipo! kwa haya sasa unapaswa kuwa mvumilivu tu ni ya kawaida mimi nina watoto wawili ila cha moto nilishakiona sihitaji tenaa mke wangu azae tena ila yeye anataka mtoto wa kike!
 
Hilo lisikupe shida kama unafanya kila uwezalo kumrudisha kwenye hali ya zamani lakini inashindikana, endelea kuvuta subira atajirudi tu mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom