Mpenzi wangu Hataki NIOGE nk nk!!...!

Mpenzi wangu Hataki NIOGE nk nk!!...!

inategemea! kama kabla ya mimba alikuwa msumbufu basi huyo hicho ni kiburi. Ila kama alikuwa muungwana na amebadilika wakati wa ujauzito hiyo ni mimba ndo inamsumbua hivyo vumilia.Pia ni maeneo na maeneo jamii ya watu wa kule mara wanawake wakiwa na mimba wala si tatizo kwani lazima atekeleze shughuli zake zote,kwenda shamba, kuchunga na kupika mpaka miezi 8 ndo apumzike hivyo mood zake za mimba atawapelekea ng'ombe huko machungoni,mwisho mtoto anazaliwa saaaafi na kakomaa vizuri kabisaaaaaa!. Mpende mkeo.
 
Pole sana mkuu,vumilia yataisha after kujifungua ila unaweza ukamuita dada yake au mama yake akawa nae kipindi hiki cha ujauzito kwani huwa inasaidia..

From experience rafiki yangu alikumbana na hali kama hiyo,mama yake binti akaombwa kuja during the pregnancy period,kidogo wife akabadilika na kupunguza visa kwa jamaa till alipojifungua then maza akasepa then life went on...
 
Wakuu salaam,

Naomba ushauri wenu hapa kwenye hili jambo linalonitatiza sana kwa sasa.

Niko kwenye uhusiano na huyu Malkia wangu kwa muda wa miaka sita sasa anaujauzito,lakini toka amekuwa katika hali hiyo Nyumba imekuwa chungu kwangu...
1.Hataki nioge yaani nikirudi kazini suala la kuoga halipo kwahiyo mm huwa inabidi nikienda kazini asubuhi nioge huko huko,anasema kwamba anataka asikie harufu yangu kwahyo huwa analalaga karibu na kwapani ili asikiwe tu ile harufu...
2.Siku nyingine nikirudi Nyumbani nafukuzwa hataki kuniona bila sababu muda mwingine huniambia "nanuka" pafyumu sasa yeye hataki hiyo harufu hata kama sijajipulizia hii huwa inaniuma sana kwasababu huyu huwa ni zaidi ya mpenziu wangu ni RAFIKI yangu mkubwa...
Sasa akinifukuza nikitoka haitapita nusu saa ananipigia simu nirudi Nyumbani kwanini namucha peke yake?!anadai siku hizi simpendi
3.Kuhusu Chakula
Juzi kaniambia anahamu ya Kuku tumetoka kwenda barabarani tumenunua kuku tumefika Nyumbani nampikia Kuku anasema Yeye anataka Miguu tu!na Kuku mwenyewe hajala kala kamguu kamoja na hakukamaliza...hicho ni kisa kimoja tu vipo vingi!
Wakuu,

Yapo mengi yananiumiza sana hasa muda mwingi nashindwa kuwa nae kutokana na Ugomvi mara kwa mara japo nimejitahidi kuvumilia,kuna wakati natamani hata arudi kwao ila sasa hawezi kukubali kuondoka na mimi siwezi kuvumilia awe mbali nitakosa mtu wa kuongea nae ye ndo Rafiki yangu mkubwa(mimi sina Marafiki sana hili ni tatizo ambalo nalitafutia ufumbuzi)

Naomba mnisaidie ushauri hapa nifanye nini sasa ili niweze kuishi nae kwa Amani?ndo itakuwa hivi hivi mpaka miezi tisa itimie au itafika kipindi ataacha?

Samahani kwa maneno mengi ni Pressure tu inanisumbua.Asante

Sent from BlackBerry

hzo ni hormone imbalance...akijifungua itaisha..kuna soln nyingine pia ni pm ntakwambia
 
Vumilia tu, ni mimba tu akishajifungua mambo yatarudi kwenye mstari na wala hutakiwi kuwa mkali kwake
Pole but hongereni pia Mungu awajalie mmpate mtoto wenu salama

Mkuu,
Huwa akinitimua home au tukigombana anampigia simu Rafiki yetu sote tukifahamiana toka naanza nae uhusiano huyo ndio huwa anamuelewa na kumtuliza watapiga story na kutaniana mpaka hasira ziishe ndo kidogo maelewano yanapatikana...jamaa asipokuwepo napata shida sana
Bob Lee Swagger

Unataka kuniambia atakuwa hivyo mpaka anajifungua?!si nitaisha?!
 
Last edited by a moderator:
mmmh,amekuona yupo wa kumdekea.maybe alivyokuwa hana mimba hakupata chance ya kudeka deka. kama huna wa kumdekea,huwezi ku act hivyo,hata kama hormone zinabadilika.ila maneno ya wengine vumilia.
 
😛anda: mkuu pole, hapo ndo umekua, big up men do not worry, ka vipi endelea kutooga yumkini utampata mtoto mwenye afya au vipi???
 
Pole sn kwa mtazamo wng mvumilie 2 maana ni matatizo ya kipindi kifupi maana muda huu unaitajika kuongeza mapenzi na kuwa nae karibu sn.
 
Wakuu salaam,

Naomba ushauri wenu hapa kwenye hili jambo linalonitatiza sana kwa sasa.

Niko kwenye uhusiano na huyu Malkia wangu kwa muda wa miaka sita sasa anaujauzito,lakini toka amekuwa katika hali hiyo Nyumba imekuwa chungu kwangu...
1.Hataki nioge yaani nikirudi kazini suala la kuoga halipo kwahiyo mm huwa inabidi nikienda kazini asubuhi nioge huko huko,anasema kwamba anataka asikie harufu yangu kwahyo huwa analalaga karibu na kwapani ili asikiwe tu ile harufu...
2.Siku nyingine nikirudi Nyumbani nafukuzwa hataki kuniona bila sababu muda mwingine huniambia "nanuka" pafyumu sasa yeye hataki hiyo harufu hata kama sijajipulizia hii huwa inaniuma sana kwasababu huyu huwa ni zaidi ya mpenziu wangu ni RAFIKI yangu mkubwa...
Sasa akinifukuza nikitoka haitapita nusu saa ananipigia simu nirudi Nyumbani kwanini namucha peke yake?!anadai siku hizi simpendi
3.Kuhusu Chakula
Juzi kaniambia anahamu ya Kuku tumetoka kwenda barabarani tumenunua kuku tumefika Nyumbani nampikia Kuku anasema Yeye anataka Miguu tu!na Kuku mwenyewe hajala kala kamguu kamoja na hakukamaliza...hicho ni kisa kimoja tu vipo vingi!
Wakuu,

Yapo mengi yananiumiza sana hasa muda mwingi nashindwa kuwa nae kutokana na Ugomvi mara kwa mara japo nimejitahidi kuvumilia,kuna wakati natamani hata arudi kwao ila sasa hawezi kukubali kuondoka na mimi siwezi kuvumilia awe mbali nitakosa mtu wa kuongea nae ye ndo Rafiki yangu mkubwa(mimi sina Marafiki sana hili ni tatizo ambalo nalitafutia ufumbuzi)

Naomba mnisaidie ushauri hapa nifanye nini sasa ili niweze kuishi nae kwa Amani?ndo itakuwa hivi hivi mpaka miezi tisa itimie au itafika kipindi ataacha?

Samahani kwa maneno mengi ni Pressure tu inanisumbua.Asante

Sent from BlackBerry

We kaza msuli twende utapumzika akishajifungua.
 
huwa siamini kwenye hayo kama ungemkimbia kukata mimba hizo mbwembwe zingekuwepo amepata naye pakuhafithia acha ajivinjari...kuna dada mmoja alipata mimba kijana akala kona akajilea mwisho akajifungua mtoto wake bila shida baada ya hapo akajapta kija
na mwingine akamwia loooo alipobeba mimba ilikuwa balaa hataki mume aende kazini washinde home wanaangaliana mbona ilikuwa taabu kweli mwisho kijana uzalendo ukamshinda akawa ngangaribi dada akaufyat kama sio yeye hadi kujifungua mambo mengine kuendekezza
 
Wakuu salaam,

Naomba ushauri wenu hapa kwenye hili jambo linalonitatiza sana kwa sasa.

Niko kwenye uhusiano na huyu Malkia wangu kwa muda wa miaka sita sasa anaujauzito,lakini toka amekuwa katika hali hiyo Nyumba imekuwa chungu kwangu...
1.Hataki nioge yaani nikirudi kazini suala la kuoga halipo kwahiyo mm huwa inabidi nikienda kazini asubuhi nioge huko huko,anasema kwamba anataka asikie harufu yangu kwahyo huwa analalaga karibu na kwapani ili asikiwe tu ile harufu...
2.Siku nyingine nikirudi Nyumbani nafukuzwa hataki kuniona bila sababu muda mwingine huniambia "nanuka" pafyumu sasa yeye hataki hiyo harufu hata kama sijajipulizia hii huwa inaniuma sana kwasababu huyu huwa ni zaidi ya mpenziu wangu ni RAFIKI yangu mkubwa...
Sasa akinifukuza nikitoka haitapita nusu saa ananipigia simu nirudi Nyumbani kwanini namucha peke yake?!anadai siku hizi simpendi
3.Kuhusu Chakula
Juzi kaniambia anahamu ya Kuku tumetoka kwenda barabarani tumenunua kuku tumefika Nyumbani nampikia Kuku anasema Yeye anataka Miguu tu!na Kuku mwenyewe hajala kala kamguu kamoja na hakukamaliza...hicho ni kisa kimoja tu vipo vingi!
Wakuu,

Yapo mengi yananiumiza sana hasa muda mwingi nashindwa kuwa nae kutokana na Ugomvi mara kwa mara japo nimejitahidi kuvumilia,kuna wakati natamani hata arudi kwao ila sasa hawezi kukubali kuondoka na mimi siwezi kuvumilia awe mbali nitakosa mtu wa kuongea nae ye ndo Rafiki yangu mkubwa(mimi sina Marafiki sana hili ni tatizo ambalo nalitafutia ufumbuzi)

Naomba mnisaidie ushauri hapa nifanye nini sasa ili niweze kuishi nae kwa Amani?ndo itakuwa hivi hivi mpaka miezi tisa itimie au itafika kipindi ataacha?

Samahani kwa maneno mengi ni Pressure tu inanisumbua.Asante

Sent from BlackBerry

Hahahaaa unanikumbusha mateso niliyoyapata mm kwa mke wangu alipokua prgnant miaka mitatu nyuma mbona ww una nafuu mm nilikua naamshwa usiku eti twende tukapunge upepo mara anataka kuskia harufu za baga za moroko so hayo mambo ni kawaida sema ww sasa mchukulie kwa kila hali mm nilikua namfanya kama mtoto mchanga eh ushawahi kuamshwa usiku alafu umuimbie slow mpaka alale bob me nishapitia huko bt nitafanya nn na ana mtoto wangu so lazim uvumilie bt mimba ya pili mambo yatakua bomba
 
Wakuu salaam,

Naomba ushauri wenu hapa kwenye hili jambo linalonitatiza sana kwa sasa.

Niko kwenye uhusiano na huyu Malkia wangu kwa muda wa miaka sita sasa anaujauzito,lakini toka amekuwa katika hali hiyo Nyumba imekuwa chungu kwangu...
1.Hataki nioge yaani nikirudi kazini suala la kuoga halipo kwahiyo mm huwa inabidi nikienda kazini asubuhi nioge huko huko,anasema kwamba anataka asikie harufu yangu kwahyo huwa analalaga karibu na kwapani ili asikiwe tu ile harufu...
2.Siku nyingine nikirudi Nyumbani nafukuzwa hataki kuniona bila sababu muda mwingine huniambia "nanuka" pafyumu sasa yeye hataki hiyo harufu hata kama sijajipulizia hii huwa inaniuma sana kwasababu huyu huwa ni zaidi ya mpenziu wangu ni RAFIKI yangu mkubwa...
Sasa akinifukuza nikitoka haitapita nusu saa ananipigia simu nirudi Nyumbani kwanini namucha peke yake?!anadai siku hizi simpendi
3.Kuhusu Chakula
Juzi kaniambia anahamu ya Kuku tumetoka kwenda barabarani tumenunua kuku tumefika Nyumbani nampikia Kuku anasema Yeye anataka Miguu tu!na Kuku mwenyewe hajala kala kamguu kamoja na hakukamaliza...hicho ni kisa kimoja tu vipo vingi!
Wakuu,

Yapo mengi yananiumiza sana hasa muda mwingi nashindwa kuwa nae kutokana na Ugomvi mara kwa mara japo nimejitahidi kuvumilia,kuna wakati natamani hata arudi kwao ila sasa hawezi kukubali kuondoka na mimi siwezi kuvumilia awe mbali nitakosa mtu wa kuongea nae ye ndo Rafiki yangu mkubwa(mimi sina Marafiki sana hili ni tatizo ambalo nalitafutia ufumbuzi)

Naomba mnisaidie ushauri hapa nifanye nini sasa ili niweze kuishi nae kwa Amani?ndo itakuwa hivi hivi mpaka miezi tisa itimie au itafika kipindi ataacha?

Samahani kwa maneno mengi ni Pressure tu inanisumbua.Asante

Sent from BlackBerry

ukubwa huo kaka, vumilia ni mambo ya kawaida katika hali ya ujauzito kwa wa mama zetu
 
huyo wa kwake anajifanyisha tu hamnaga kitu kama hicho!!kasikia tu kijiweni na saloon basi anaaply hebu mkaripie uone asipofyata mkia wake atakuchoma na kisu useme ni miiiimba hiyoooo.hata tembo anabeba yake 2years na hana mbwembwe

kama wewe ni mwanamke na ulishabeba mimba na hukupata kasheshe yoyote shukuru Mungu, km bado hujabeba mimba heri unyamaze ndugu yangu na kama wewe ni mwanaume nyamaza kabisa mana mtu huwezi kujifanya miezi tisa ukaishi maisha artificial watu wanaongea kwa kuwa wana evidence... hata mimi zamani nilijua watu wanadeka tu na kupretend ... yaliponikuta live mpk leo namuhurumia mtu akiwa na tumbo na namwombea amalize hyo safari salama awe ana shida au hana... naomba tu uteme mate chini uombe yasikukute..
 
kama wewe ni mwanamke na ulishabeba mimba na hukupata kasheshe yoyote shukuru Mungu, km bado hujabeba mimba heri unyamaze ndugu yangu na kama wewe ni mwanaume nyamaza kabisa mana mtu huwezi kujifanya miezi tisa ukaishi maisha artificial watu wanaongea kwa kuwa wana evidence... hata mimi zamani nilijua watu wanadeka tu na kupretend ... yaliponikuta live mpk leo namuhurumia mtu akiwa na tumbo na namwombea amalize hyo safari salama awe ana shida au hana... naomba tu uteme mate chini uombe yasikukute..
nina watoto watatu unaniambia niteme mate wanawake wengi wanajifanyisha sana tena kwakusikia maneno kwa watu,kudeka deka nikujifanyisha hakuna chote kinachochochea wewe umchukie mtu ,wala kubadili way of living ninachojua kinachokifu ni chakula tu hata mimi ilinitokea sinywi maji 9month wala nyama nk.mengine zaidi ya msosi ni mbwembwe tu
wanawake wengi wametumia udhaifu wa mimba kusumbua waume zao eti saa tisa usiku mtu anataka apple la SA ,heheheheheeheheh ,sitaki kukuona,oh haongei na mmewe hii imepelekea sana maeneo ya uswahilini na hata mijini waume kutoka nje ya ndoa zao sababu ya kero za mimba nina ushahidi na nina miaka mingi duniani kusema haya nimeishi na matajiri na maskini pia nimeona na nimejifunza!!!wanawake wengi ni wapumbavu kwa kigezo cha mimba wengi wamevunja ndoa na wanakuj agutuka too late.
 
Back
Top Bottom