Mpenzi wangu hataki kunipa tunda,nifanyeje jamani?

Mpenzi wangu hataki kunipa tunda,nifanyeje jamani?

Statistical package iliyotumiwa ilihusisha yote hayo na sample size ilikuwa kubwa sana!

Dada akiliwa tiGo kwa makubaliano yao mimi kwangu shega na hainihusu!

sample size ilikuwa ndogo.

KAMA VIPI nipe namba ya dadako nianze nae.
 
wana JF, nina rafaiki yangu ambaye bado hatukufikia hatua ya uchumba,kwa mara ya kwanza baada ya kunikubalia ombi langu,alinisumbua sana kunipa tunda,mpaka tukatana kuachana ndio akakubali kunipa,na baada ya kunipa alisema alikuwa anaogopa kwa sababu hakuwahi kumegwa, na sasa nimeshammega mara kadhaa, lakini hivi juzi tu nimemkumbushia kuhusu kula tunda ameniambia tusiwe tunafanya hivyo tena tusubiri mpaka tufunge ndoa,mana anasema tunafanya dhambi, nami nilikubali lakini kwa sasa naona kukosa kitu muhimu kwani nammiss sana kiasi cha kushindwa kuvumilia,
sasa tatizo linakuja suala la ndoa bado litachukua muda kama mwaka na zaidi hivi,ina mana muda wote huo nisile tunda langu? nafikiria kumsaliti sasa kwani siwezi kukaa muda wote huo,nifanyeje jamani?
Kama hataki kukupa tunda usihangaike nae matunda yapo mengi sana sokoni we nenda kanunue tuu!!
 
sample size ilikuwa ndogo.

KAMA VIPI nipe namba ya dadako nianze nae.

Nani kakuwambia participants 400,000 ni sample size ndogo?

NikuPM ama niweka hapa JF? Hope u will replicate the same for ur sister!
 
Kama hataki kukupa tunda usihangaike nae matunda yapo mengi sana sokoni we nenda kanunue tuu!!


Huu ni ushauri wa ina gani sasa unampa mwenzako!!! nimeuliza kwani hilo tunda lazima??????
 
Msikilizie, huku ukitandika taratiiiiiiibu nje...Huyo ni Goli la mbali usijifanye Gerald....pigapiga chenga kama Messi mpaka ndani ya 18
 
wana JF, nina rafaiki yangu ambaye bado hatukufikia hatua ya uchumba,kwa mara ya kwanza baada ya kunikubalia ombi langu,alinisumbua sana kunipa tunda,mpaka tukatana kuachana ndio akakubali kunipa,na baada ya kunipa alisema alikuwa anaogopa kwa sababu hakuwahi kumegwa, na sasa nimeshammega mara kadhaa, lakini hivi juzi tu nimemkumbushia kuhusu kula tunda ameniambia tusiwe tunafanya hivyo tena tusubiri mpaka tufunge ndoa,mana anasema tunafanya dhambi, nami nilikubali lakini kwa sasa naona kukosa kitu muhimu kwani nammiss sana kiasi cha kushindwa kuvumilia,
sasa tatizo linakuja suala la ndoa bado litachukua muda kama mwaka na zaidi hivi,ina mana muda wote huo nisile tunda langu? nafikiria kumsaliti sasa kwani siwezi kukaa muda wote huo,nifanyeje jamani?
umekosea kudhani tunda ni lako,si lako mjomba ndiomana ukanyimwa,hiyo ni moja.mbili,inaelekea huna mapenzi ila una kiu kali ya ngono kiasi huwezi kusubiri mwaka,ndiomana upo tayari kungonoka na yoyote yule ili upunguze kiu yako.Mi nadhani hutaki kushauriwa ila unahitaji hamasa ya kutimiza maovu.kama ushauri ulishapewa na mwenzio acheni kufanya madhambi mtafanya mkifuata taratibu zinazotakikana,sasa unata ushauri gani mjomba? au ndo unataka tukuambie ukabake? au ukanunue?,cha kufanya ni kama alivyokwambia huyo demu wako
 
Sasa ulipo mega kwa mara ya kwanza ulionanaje kitu sealed? au kitu kilikuwa used fanya tathimini kwanza then tutakupa mbinu mbadala.
 
Sasa ulipo mega kwa mara ya kwanza ulionanaje kitu sealed? au kitu kilikuwa used fanya tathimini kwanza then tutakupa mbinu mbadala.




mkuu kitu kilikuwa sealed alinisumbua sana mara ya kwanza
 
Mkuu kuna mada kibao wadau hapa JF wakifagilia tiGo! na mwisho wa mijadala yote ilionekana tiGo inaleta heshima kwenye ndoa. Kuna wale wajuvi wa hesabu za takwimu (statistics) walikuja na p value ya 0.0001 significant levels umuhimu wa tiGo kwenye ndoa. Shauri yako kama hujaanza

masa masa iko wapi hiyo ya umuhimu wa tigo kwenye ndoa na mimi niipitie?
 
Mkuu kuna mada kibao wadau hapa JF wakifagilia tiGo! na mwisho wa mijadala yote ilionekana tiGo inaleta heshima kwenye ndoa. Kuna wale wajuvi wa hesabu za takwimu (statistics) walikuja na p value ya 0.0001 significant levels umuhimu wa tiGo kwenye ndoa. Shauri yako kama hujaanza

hehehehe hiyo ilivo juu actually ni ya kwen mambo ya medicine manake hakutakiwi kuwe na error kabisa! kwahiyo ni very credible data hizo
 
wana JF, nina rafaiki yangu ambaye bado hatukufikia hatua ya uchumba,kwa mara ya kwanza baada ya kunikubalia ombi langu,alinisumbua sana kunipa tunda,mpaka tukatana kuachana ndio akakubali kunipa,na baada ya kunipa alisema alikuwa anaogopa kwa sababu hakuwahi kumegwa, na sasa nimeshammega mara kadhaa, lakini hivi juzi tu nimemkumbushia kuhusu kula tunda ameniambia tusiwe tunafanya hivyo tena tusubiri mpaka tufunge ndoa,mana anasema tunafanya dhambi, nami nilikubali lakini kwa sasa naona kukosa kitu muhimu kwani nammiss sana kiasi cha kushindwa kuvumilia,
sasa tatizo linakuja suala la ndoa bado litachukua muda kama mwaka na zaidi hivi,ina mana muda wote huo nisile tunda langu? nafikiria kumsaliti sasa kwani siwezi kukaa muda wote huo,nifanyeje jamani?
haki zote kati ya wanandoa zinapatikana kwenye kitabu hiki. conjugal right (haki ya kujamiiana na mkeo) ipo humu kwenye kitabu hiki cha sheria kwa kiswahili pia, sijui huyo mpenzi wako umeoana naye au ni hawara. pata kitabu hiki utajua yote haya na hutauliza swali tena. bofya SHERIA KWA KISWAHILI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom