Mpenzi wangu hafiki kileleni

Mpenzi wangu hafiki kileleni

tapatalk_1504682409992.jpeg
 
masengobangu Kama hajakeketa, then wakati wa kuoga awe anatumia maua ya sausage tree kuvuta zile manora halafu ulete mrejesho hapa.

kutoka: Imburumatale.
 
Mkabidhi kwa pieeeeeeere liquid


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.

Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.

Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.

Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.

Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
Tatizo wengi wenu huwa mnajifanya ni wajuzi lakini sivyo ilivyo manjidanganya kuwa mnatumia mbinu zote ila mwisho wa siku hola tofautisheni kati ya kugusa angle yenyewe na kubadilisha style unaweza kutumia style moja na ukagusa angle ile inayompagawisha na akafika kileleni so angalia kati ya hayo uyafanyayo unapokuwa faragha na mwenzio nisikudanganye hamna kazi ngumu kama kumfikisha mwanamke kileleni narudia tena sio kaz ndogo kwa hiyo tumia maujuzi
Huenda mwenzio mapenz yanamkolea yale ya faster faster and hardcore ila wewe unakuwa unampa za kipolepole matokeo yake hafeel kitu kwa hiyo jitahid kuangalia hilo
 
Nadhani kuna baadhi ya wanawake wako hivyo nikishakutana na kesi za hivyo sana
 
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.

Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.

Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.

Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.

Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
ukikuta ana mbunye kubwa, pana huwezi mfikisha maana g spot inakuwa mbali
 
masengobangu,
Mpe chakula cha asili, asile nyama, ale samaki, matunda fresh na siyo juisi, the wakati wa tendo hakikisha mnanyonyana sana mpaka uone mmoja anaanza kuhema haraka haraka ndio aingize
 
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.

Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.

Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.

Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.

Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
Yani vinne vyote havimloanishi tu, au unamwaga vitone tone tu!?
 
Watu wa kwenye ule mlima mrefu kuliko wote barani kwetu wengi wapo hivyo sijui kwa nini!! Kama umeoa huko kuwa mvumilivu tuuuu..
 
Una hatari ya kutafuniwa mzigo na aliyemfikisha..

Lakini kwenye kikao cha wanaume tulishasema kwenye sheria no 17 kipengele b
"You don't owe any woman organism kila mtu apambane kutafuta kilele chake"
Kama wewe unapataa vilele vi 3 yeye kwanini akose? Inabidi ajitafakari akishindwa aridhike hivyo hivyo akishindwa kabisa aondoke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom