Mnyongeni Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 628
- 731
Nyonya. Mkundu atafika tuu niamin
Hebu nikusaidie kazi mkuu. Akifika nikupe vizuri mbinu zilizomfikisha.Nawasalimu ndugu wana jamii forum.
Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.
Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.
Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.
Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.
Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.
Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.
Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.
Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.
Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.
Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.
Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.
Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
Itakua zimwi likujualo hilo maana halilagi likakwishaZimwi hilo
Ha ha ha makaveli10 sishauri jamaa akupe demu wakeMkuu mlete kwangu akishakojoa nitakuelekeza njia za kumkojoza nisipoweza nitalulipa fidia...
Guarantee 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa!! Mkuu acha anipe tu nimtafutie njia yakinifu za kumkojolesha!
Mkuuu jibu hili hapaa sasaHilo ni tatizo la kiakili linaitwa female orgasmic disorder ambalo linatakiwa liwe na vigezo vya kuwa ugonjwa wa kiakili
A. Kama ana dalili zifuatazo
1. Kuchelewa kufika kileleni, uchache was kufika kileleni au kutokufika kileleni kabisa
2. Kupungua kwa hisia wakati wa kufika kileleni
B. Hizo dalili za A hapo juu ziwe zmeajitokeza kwa muda kuanzia miezi 6
C. Dalili za A juu kama zimeathiri maisha yake ya kila siku (maisha yamebadilika kutokana na hilo tatizo mfano shughuli zake kukwama)
D. Hilo tatizo lisiwe limechangiwa na tatizo la kiakili linalohusiana na sexual au lisiwe limechangiwa na matatizo ya mahusiano ( mfano sauti ya mpenzi wako
Sio yeye peke yake
According to American Psychiatric Association (APA)
Kwa makisio ya 10% ya wanawake hawajawahi kufika kileleni maisha yao yote
Vitu vinavyochangia
1 sababu za saikolojia kama woga wa kupata mimba
2. Mazingira kama afya ya mwili, matatizo ya akili, matatizo ya mahusiano
3. Genetic ( kurithi) pia kuna dawa zinazo zuia kufika kileleni mfano dawa zinazotumika kutibu sonona (depression) ambazo zipo kwenye kundi linaloitwa serotonin selective reuptake inhibitor (SSRI)
By. Psychiatric nurse
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha unataka kumtengenezea njia lolHahaa!! Mkuu acha anipe tu nimtafutie njia yakinifu za kumkojolesha!
Sent using Jamii Forums mobile app