Mpenzi wangu hafiki kileleni

Mwaga nondo vijana wanakwama sana..maybe watajifunza kitu

Kusex na mwanamke anayekupenda na kukufeel 100℅ kumfikisha ni kugusa tu

Haswaaa.. mkuu hapo umemaliza kila kitu. Ukishaweza kuamsha hisia za mwanamke kimapenzi, kazi inakua rahisi sana. Kinyume na hapo utalazimika kutumia nguvu kubwa sana na unaweza usifanikiwe.
 
Hilo ni tatizo la kiakili linaitwa female orgasmic disorder ambalo linatakiwa liwe na vigezo vya kuwa ugonjwa wa kiakili
A. Kama ana dalili zifuatazo
1. Kuchelewa kufika kileleni, uchache was kufika kileleni au kutokufika kileleni kabisa
2. Kupungua kwa hisia wakati wa kufika kileleni

B. Hizo dalili za A hapo juu ziwe zmeajitokeza kwa muda kuanzia miezi 6

C. Dalili za A juu kama zimeathiri maisha yake ya kila siku (maisha yamebadilika kutokana na hilo tatizo mfano shughuli zake kukwama)

D. Hilo tatizo lisiwe limechangiwa na tatizo la kiakili linalohusiana na sexual au lisiwe limechangiwa na matatizo ya mahusiano ( mfano sauti ya mpenzi wako

Sio yeye peke yake
According to American Psychiatric Association (APA)
Kwa makisio ya 10% ya wanawake hawajawahi kufika kileleni maisha yao yote

Vitu vinavyochangia
1 sababu za saikolojia kama woga wa kupata mimba

2. Mazingira kama afya ya mwili, matatizo ya akili, matatizo ya mahusiano

3. Genetic ( kurithi) pia kuna dawa zinazo zuia kufika kileleni mfano dawa zinazotumika kutibu sonona (depression) ambazo zipo kwenye kundi linaloitwa serotonin selective reuptake inhibitor (SSRI)



By. Psychiatric nurse






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni kawaida kwa watanzania
Sent usingJamii Forums mobile app
 
JIBU RAHISI HAKUFEEL,YUKO NA WEWE KWA AJILI YA SHIDA ZA KIMAISHA TU
 
Simple and clear,hakupendi,kufika kileleni ni mchango wa mwanamke zaidi kuliko mwanaume,km mwanamke anakupenda atakojoa tu na km hujui pa kumkmatia atakwambia tu nishike hapa au nifanye hivi,la msingi jaribu kuwa rafiki yake kwnz km unaamini anakupenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya game mpe milion ya shopping utanipa mrejesho..unavoambiwa pesa ndio kila kitu usizan utani mkuu
 
Hiyo mpenzi wako ni JIWE kweli kweli! Hababaishwi na vigoli vyako vitano
 
Pole na msongo wa mawazo.

Kuna wakati huna budi kuwaza sana wanawake wanatofautiana sana.
Kama ulishapitia madem wengi utaona tofauti kwa kila dem.
Kuna mambo mengi kumjua mwanamke mmojammoja. Huhitaji kumridhisha kila mwanamke wengine chapa tembea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie akamtafute huyo tour guide wa mwanzo aliyemfikisha kileleni
 
Siku zote nawaambia vijana hivi ila hawaniamini kabisa wao wanaangaika kutumia dawa zao
Swala la mwanamke kufika kileleni kwa sehemu kubwa linachangiwa na mwanamke mwenyewe na kwa sehemu ndogo sana ndio mwanaume. Hasa hapo kwenye feelings na utayari wa mwanamke kukitafuta na kukifikia kilele.

Love and peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…