Mpenzi wangu anataka nifuge Rasta

Mpenzi wangu anataka nifuge Rasta

mwambie kila binadam huwa na swaga zake kabisaaaaaaa na tabia zipo tofautiii so ww mwambie akuzoeeeee 2
 
zanzibar na arusha kafanya sana kazi ya hotelia

Simpendi mwanaume mwenye dread,asilimia kubwa ni wahuni na watu wasiojielewa wala kujitambua,wachafuwachafu tu,hawana maisha.
 
Hivi kweli kijana wangu anijie nyumbani na rasta kisa kashauriwa na demu;
sijui hata itakuwaje hapo.
 
labda umuulize vizuri rasta za kichwani au pande gani unaweza ukawa hujamuelewa mpenzi wako
 
Wewe kubali kusuka rasta ila ujiandae kuambiwa kuwa inabidi uanze kuvuta bangi ili ufanane na ex wake na afurahi zaidi. Je utavuta? kama utakubali kusuka rasta nini kitakachokuzuia kuvuta bangi ukiombwa kwa mahaba na huyo dada? Sikwambii mimi ningemjibu vipi kama ningekuwa kwenye nafasi yako ila kwa ufupi pangechimbika!
 
Hahaha mamafacebook umeniacha hoi...ila mkuu fwata yako stand by urself n principles u r a man Ala!!
 
Hahaha mamafacebook umeniacha hoi...ila mkuu fwata yako stand by urself n principles u r a man Ala!!

Me kanshangaza sana ndo nikamuuliza yeye akiambiwa ale kinyesi atakula akajibu hatokula ina mana jibu analo asituchoshe hapa
 
Fuga si babaafacebook kasema. Wewe chakufanya niku dai matunzo ya unywele. Ata kwambia mwe nyewe nyoa
 
Rasta kwa mwanaume..hapana. mwambie akupe option nyingine..tehe
 
Inaonekana hata wakati unamgegeda anamuwaza huyo rasta wake.....

Kuna wanaume ni mabwege.....
 
mbona rahisi...tafuta wigi lako la rasta.....ukienda kumuona unalivaa
ukiachana nae unalivua unafanya mishe zingine...
 
Back
Top Bottom