Dawa ni aache kabisa kupiga punyeto ajikite kufanya mazoezi kama jogging,push ups kiruka kamba na kula vizuri alafu awe anapiga papuchi kila baada ya siku tatu atazoeaAisee kweli ni tatizo swahiba. Ila huyo mdada anahitajika kumsaidia huyo mpenzi wake ili apate kuacha.
Inategemea umefikia level gani, kwa wale beginners wanaweza kua na hisia na wanawake kadiri anavyoendelea mbele mpaka kufikia level ya ugwiji hisia kwa wanawake zinapotea kabisa na haoni kabisa umuhimu wa kipochi manyoya. Akiendelea zaidi misuli ya bakora inalegea na kushindwa kusimamisha kabisa.Kama nimekuelewa vizuri hivyo wale wa punyeto haiwezekani kutokuwa na hisia hata kidogo kwa mwanamke au zinapotea zote?
Kweli kabisa kaka sababu sioni kama ina faida ikiwa mtu akishatumbukia huko ni ngumu kutoka.Yeahp dada emmyta na kinachowathiri zaidi ni kuona filamu za ngono inabidi waache"
Siridhiki kimapenzi, naomba ushauriKama inavyosomeka hapo juu
Nimekuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa miezi mitatu,lakini cha kushangaza alikuwa haniombi mchezo,nikawa najiuliza huyu kaka miezi mitatu sijawahi kusikia hata akiniomba mchezo kama walivyo wanaume wengine ambao wiki moja tu ameishaomba mchezo.
Basi juzi nilimuomba makusudi nikamsalimie kwake,akakubali,nilipofika kwake na kwa vile nampenda niliamua nimchezee ili ajue kuwa nataka mchezo
Nikawa nimekaa naye kwenye kochi namtomasa tomasa,nikaona kama anataka,nikanyenyuka nikavua nguo nikaoge kwanza,nilipo maliza nilimshika mkono tukaingia chumbani,basi tukaanza kuchezeana lakini dudu yake haikusimama,nikabembeleza hakuna kitu,basi nikamuuliza una matatizo gani?akanijibu labda ana stress,mawazo,labda siku nyingine itasimama,basi nikamuaga akaniitia tax nikaondoka,ila wakati tunaondoka kama mita 200 nikamwambia driver nimesahau hereni zangu nirudishe nikachukue,dreva akanirudisha,nikashuka na kuingia ndani bila hodi,chumba chake kina bafu humo humo,nilipoingia hapo chumbani nikasikia sauti kama yupo mchezoni,nikajiuliza huyu mwanaume ana nani bafuni ambaye wanafanya naye mambo,kwa kweli sikuvumilia nikafungua mlango,paap namkuta mwanaume anachua uume wake mpaka anakojoa shahawa,nikasikitika sana,nikamuuliza kulikoni mbona hivo, akakasirika na kuniambia niondoke,basi nikaondoka,hata sikuchukua hizo heleni, nikachoka mwili mzima,na kutikisa tu kichwa.
Najiuliza nimsaidiaje huyu mwanaume,? Ushauri wenu tafadhali
Nimesoma we Ndo ujanielewaSome stori nzima
Hii nzuri aisee. Ila nadhani mleta uzi atauchukua huu ushauri na kuufanyia kazi.Dawa ni aache kabisa kupiga punyeto ajikite kufanya mazoezi kamab jogging,push ups kiruka kamba na kula vizuri alafubawe anapiga papuchi kila baada ya siku tatu atazoea
Kweli dada emmyta """ubaki salamaHii nzuri aisee. Ila nadhani mleta uzi atauchukua huu ushauri na kuufanyia kazi.
Duuh! Hivyo inaelekea huyu wa mleta uzi atakuwa hiyo level ya mwisho. Sa sijui kama anaweza badilika.Inategemea umefikia level gani, kwa wale beginners wanaweza kua na hisia na wanawake kadiri anavyoendelea mbele mpaka kufikia level ya ugwiji hisia kwa wanawake zinapotea kabisa na haoni kabisa umuhimu wa kipochi manyoya. Akiendelea zaidi misuli ya bakora inalegea na kushindwa kusimamisha kabisa.
Kwanza njoo kwangu nikufanyie mambo kwanza then ndo uende kwake umpe mzizi flan hivi nitakaokupa uende kumtegeneza.Kama inavyosomeka hapo juu
Nimekuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa miezi mitatu,lakini cha kushangaza alikuwa haniombi mchezo,nikawa najiuliza huyu kaka miezi mitatu sijawahi kusikia hata akiniomba mchezo kama walivyo wanaume wengine ambao wiki moja tu ameishaomba mchezo.
Basi juzi nilimuomba makusudi nikamsalimie kwake,akakubali,nilipofika kwake na kwa vile nampenda niliamua nimchezee ili ajue kuwa nataka mchezo
Nikawa nimekaa naye kwenye kochi namtomasa tomasa,nikaona kama anataka,nikanyenyuka nikavua nguo nikaoge kwanza,nilipo maliza nilimshika mkono tukaingia chumbani,basi tukaanza kuchezeana lakini dudu yake haikusimama,nikabembeleza hakuna kitu,basi nikamuuliza una matatizo gani?akanijibu labda ana stress,mawazo,labda siku nyingine itasimama,basi nikamuaga akaniitia tax nikaondoka,ila wakati tunaondoka kama mita 200 nikamwambia driver nimesahau hereni zangu nirudishe nikachukue,dreva akanirudisha,nikashuka na kuingia ndani bila hodi,chumba chake kina bafu humo humo,nilipoingia hapo chumbani nikasikia sauti kama yupo mchezoni,nikajiuliza huyu mwanaume ana nani bafuni ambaye wanafanya naye mambo,kwa kweli sikuvumilia nikafungua mlango,paap namkuta mwanaume anachua uume wake mpaka anakojoa shahawa,nikasikitika sana,nikamuuliza kulikoni mbona hivo, akakasirika na kuniambia niondoke,basi nikaondoka,hata sikuchukua hizo heleni, nikachoka mwili mzima,na kutikisa tu kichwa.
Najiuliza nimsaidiaje huyu mwanaume,? Ushauri wenu tafadhali
Yaa mleta mada ajiandae tu awe anamtengea papuchi kila baada ya muda mfupi kama anampango wa kufika naye mbaliHii nzuri aisee. Ila nadhani mleta uzi atauchukua huu ushauri na kuufanyia kazi.
Muweke reserve huyo kwa ajili ya uzalishaji tuu,Ww Fanya mambo yako mengine.
labda huyo jamaa wake ajawa na mwanamke mda mrefu itachukua muda labda wazoeane kwanza ndo ataweza simamisha vijana waache huu mchezo sio mzuri dawa yake ni kuangalia madhara zaidi sio utamuMmh. Kwani wanaopiga hayo mapunyeto huwa hawana hisia na wanawake au ni kwa sababu hawana wanawake ndio sababu wanaona hiyo punyeto ndio suluhu?
Nauliza tu sababu naona kama kuna ukakasi hapa.