heshima nicholaus
Member
- Dec 26, 2011
- 16
- 3
nina mpenzi wangu nampenda sana na naamini naye anipenda sana ila siku za hivi karibuni ameanza kuwa na tabia ya kuchat sana na mwanaume mmoja nikimuuliza anadai ni rafiki lakini mimi nakuta meseji wakiita honey,mumy,mpenzi na zaidi huwa mkali sana napotaja jina la huyo jamaa na hataki kabisa kuongelea juu huyo,mbaya zaidi kwa siku anaweza kuanzia asubuhi akiamka anamcheck huyo jamaa na kuanza kuchat pasipo mimi kunijulia hali,na mara kwa mara nishakuta sms za promise,JE KWELI HUYU NI MUAMINFU KWANGU AMA ANIDANGANYA