We naye punguza shobo tuliza kipago hicho, kama ndugu zako wa kike na wapenzi wako wanajiuza basi usidhani kila mwanamke anajiuza, hao wanaume takataka wana hela gani za kunipa hadi nijiuze kwao (mwanaume yeyote anayenunua malaya ni takataka tu)
Wewe uliyesema hivyo ndio ufanye hiyo kazi ya kuscroll up uoneshe ni wapi nilisema hayo, vinginevyo utaishia kuonekana una shobo mtoto wa kiume, unavamia mada halafu badala ya kujadili hoja unanijadili mimi..mbona unakuwa kama ulizaliwa kwenye choo cha kilabuni