NA WW SI UMSUPRISE SASAPoleni na majukumu.
Kweli katika mahusiano huwa napenda mipaka, huwa niko straight lakini wapenzi wetu kibongo bongo wanapenda kufosi mambo sana. Huyu mwanamama ni msomi na anajielewa nilimuona amestaarabika sana lakini haishi tabia ya kunishtukiza geto
Serious sipendi mtu yeyote hata awe mama angu kuja kwangu bila taarifa! Simu zina kazi gani kama wewe unakuja tuu OUT OF THE BLUE.
Privacy ni kitu muhimu sana lakini wengine hawataki kuheshimu privacy za wengine...ila wewe mdada kweli nakupenda lakini endelea na mazoea ya kidandara kuja geto bila taarifa utachokuta usijutie.
Umenifanya niusome uzi upyaMforwadie huu ujumbe kabisa huyo mwanamama
Nafikiri utamsaidia zaidi katika harakati za mabadiliko yake
Halafu hapo kwenye private ni privacy
Inaonesha hajiamini au Hana Imani na wewe, Ila Kama unampenda kwa dhati sio issue Sana, kwa kiasi kikubwa hasara inabaki kwake cause siku nyingine atakuja na asikukutePoleni na majukumu.
Kweli katika mahusiano huwa napenda mipaka, huwa niko straight lakini wapenzi wetu kibongo bongo wanapenda kufosi mambo sana. Huyu mwanamama ni msomi na anajielewa nilimuona amestaarabika sana lakini haishi tabia ya kunishtukiza geto
Serious sipendi mtu yeyote hata awe mama angu kuja kwangu bila taarifa! Simu zina kazi gani kama wewe unakuja tuu OUT OF THE BLUE.
Privacy ni kitu muhimu sana lakini wengine hawataki kuheshimu privacy za wengine...ila wewe mdada kweli nakupenda lakini endelea na mazoea ya kidandara kuja geto bila taarifa utachokuta usijutie.