Nimejitolea kumsaidia majukumu ya kukukanda, kwa kipindi chote cha safari yake.... Pole sana SistaNiko njia panda. Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu anahamia Dodoma kikazi. Nitakuwa mpweke sana. Anasema huko maisha yatakuwa magumu kwa miezi sio chini ya mitatu. Nimvumilie akiseto ataniita mara mojamoja. Masikini sijui ataweza? Keshazoea kutuliza moyo wake kila wiki mara moja au mbili. Sasa miezi mitatu si itakuwa balaa? Kila la kheri laazizi usafiri salama. Mimi nipo kwa ajili yako najitunza.
Dah! sijaelewa chochote by the way hadithi yako inatufunza nini?Niko njia panda. Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu anahamia Dodoma kikazi. Nitakuwa mpweke sana. Anasema huko maisha yatakuwa magumu kwa miezi sio chini ya mitatu. Nimvumilie akiseto ataniita mara mojamoja. Masikini sijui ataweza? Keshazoea kutuliza moyo wake kila wiki mara moja au mbili. Sasa miezi mitatu si itakuwa balaa? Kila la kheri laazizi usafiri salama. Mimi nipo kwa ajili yako najitunza.
Me nilizan unaniomba nije kuwa super subUlitaka kuelewa nini kwa mfano.
kiinglish on fleek. Jipangeee peterchokabeach
Niko njia panda. Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu anahamia Dodoma kikazi. Nitakuwa mpweke sana. Anasema huko maisha yatakuwa magumu kwa miezi sio chini ya mitatu. Nimvumilie akiseto ataniita mara mojamoja. Masikini sijui ataweza? Keshazoea kutuliza moyo wake kila wiki mara moja au mbili. Sasa miezi mitatu si itakuwa balaa? Kila la kheri laazizi usafiri salama. Mimi nipo kwa ajili yako najitunza.
Nyani Ngabu..... no commentHeshima yako Sista!
Nyani Ngabu..... no comment
Salary slip ya serikalini ya nini? utumwa huo kwanza hana siku nyingi atatumbuliwa huyo mumeo! me mejiajiri matonyo ninao wakutosha tu!Hahaha huna salary slip ya serikalini