Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
lete pichu yako nikufulie
dem bado yupo au kasepa?
dem bado yupo au kasepa?
Ngoja na mimi niongee na wewe kwa utulivu utanielewa ninavyokupenda!....ngoja nikueleze namna ninavyokupenda!Ongea nae kwa utulivu atakuelewa. Mweleze namna ambavyo hupendezwi na suala la yeye kufuliwa na mtu mwingine nguo zilizotoka mwilini mwake na hasa boksa.



Ukakinukishe na wakati hujui wajibu wako kama mwanamke hujui mwanaume nani huwa anamfulia na kumfanyia usafi kinukishe umkose jamaa amchukue kabisa huyo mfuaji

Kuna uchumba huwa unaanza kabla ya kuwa wapenzi au marafiki?ukinukishe we kama nani,kuwa mpenzi sio mke tena si ajabu haya uchumba bado
Nimefutajee mpaka nikakosa cha kuandika
Kwa nini jaman umekosa cha kuandikaNimefutajee mpaka nikakosa cha kuandika
Bhasi tu make ningeliandika ya moyoni sijui...Kwa nini jaman umekosa cha kuandika
Ungeandika tu ya nini kuidhurumu nafsi unakufwa na kitu moyoniBhasi tu make ningeliandika ya moyoni sijui...
Si ndo hapoo . ..huyu ndo shunie ninayemfahamu mmUngeandika tu ya nini kuidhurumu nafsi unakufwa na kitu moyoni
