Mpenzi wangu anafuliwa boxer...

Mpenzi wangu anafuliwa boxer...

Huyo mwanamke niwa nanna ya pekee kabisa aisee kama za kwake hagusi zakwako itakuwaje brah ...Ila na huyo mwenye kuzifua nae ni original atakama yupo na kazi chungu tele kwa hili ameua bendi bwashee sio sawa ila kabla hujakinukisha sema nae mana wengine mpaka tupeane darasa ndipo tunaweza kuona makosa yetu kwa karibu zaidi
 
Sasa ww unajua kwenda hapo na kuweka miguu juu tu hujui hata usafi nani anafanya unaona mpenzi wako nguo zinang’aa tu hujawahi hata kufua..uvivu tuu


Naww tafuta mtu akufulie chupi
 
Ongea nae kwa utulivu atakuelewa. Mweleze namna ambavyo hupendezwi na suala la yeye kufuliwa na mtu mwingine nguo zilizotoka mwilini mwake na hasa boksa.
 
Huyo mpenzi wako atakuwa na tabia mbaya kutaka kufuliwa hadi boxer na mfanyakazi (awe wa kike au wa kiume). Labda iwe huyo dada ni mpenzi wake .

Ongea naye ujue sababu ya kumwachia huyo dada nyumba na kufua boxer
Watoto wakulelewa kwenye hotpot hawajui kufua hata kitambaa mkuu
 
Hahahaha,dah nimekumbuka enzi hizo chuo kuna Mdada/mmama wale wafanya usafi ndo ilikua Speciality yake kufua Boksa za Majamaa;Uzezeta ule nilikua kila nikiImagine siuelewi,na sio kwamba nilikua sina ela,hapana,nguo nilikua nikijiskia nafua mwenyewe au nampa mfanya safi ananifulia namlipa,Ila BOKSA daaah,No effing way!!
 
ukinukishe we kama nani,kuwa mpenzi sio mke tena si ajabu haya uchumba bado
 
Nimemtembelea mpenzi wangu leo(naishi mbali nae)nimekuta mdada anamfulia nguo pamoja na boxer zake yeye hayupo ikabidi nimuulize huyu dada yeye ni nani?akanijibu yeye ndo huwa anamfulia na kumfanyia usafi kisha anamlipa.hajawahi kunigusia hili swala.je ni sawa jamni nisaidieni kabla sijakinukisha.
Hofu yako nini? Mbona huyo dada katoa maelezo mazuri tu. Ni kazi hamna lingine.
 
Nimemtembelea mpenzi wangu leo(naishi mbali nae)nimekuta mdada anamfulia nguo pamoja na boxer zake yeye hayupo ikabidi nimuulize huyu dada yeye ni nani?akanijibu yeye ndo huwa anamfulia na kumfanyia usafi kisha anamlipa.hajawahi kunigusia hili swala.je ni sawa jamni nisaidieni kabla sijakinukisha.

Siku ukikuta wanafuana 6*6 usijali...
 
mi nafuaga mwenyewe japo nko busy sana huwa natamani nitafute wa kunifulia...so wewe kama humfuliiagi uko mbali maana yake naye anazidiwa so inabidi atafute mtu amfulie amlipe.....so kufuliwa alipe ni sawa.....kufuliwa boxer ni maamuzi yake sasa.....wengine wnaona wafuliwe tu kila kitu kasoro boxer......so kama humfulii jiangalie upya cha kufanya
 
Back
Top Bottom