Afro king
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 427
- 428
Habari za saizi wakuu.."
Natumaini wote wazima
Nina miezi miwili nipo kwenye mahusiano na mpenzi mpya na ninampenda ila shida ni yeye mwanzoni aliniamboa ayupo kwenye uhusiano na mtu yoyote, ila siku izi naona dalili za kuwa amerudiana na Ex wake.
Maana mda wakurudi nyumbani akitoka kazin anapanda bodaboda ya uyo mjamaa hata umueleze vip anajifanya amekuelewa ila badae anarudia ivyo.
Nimeshaanza ona dalili za kutomuelewa maana anapiga sim mara nying na cha kwanza ananiuliza upo wapi ?
Nikimtajia eneo anajifanya kam alikuwa ananisalimia ukipiga sim inakuwa inatumia maximum unaweza kupiga sim saa11 jion adi saa2 usiku inatumika (Means ameniblock)
Ukimuuliza ulikuwa umeni block anasema Mara ooh nikiwa busy napenda kublock watu wote ili nifanye kazi kwanza?
Nahisi kama nitashindwana nae jamani
Naomba ushauri wa kufanya katika situation hii ya sasa kwa kweli " 🙏
Natumaini wote wazima
Nina miezi miwili nipo kwenye mahusiano na mpenzi mpya na ninampenda ila shida ni yeye mwanzoni aliniamboa ayupo kwenye uhusiano na mtu yoyote, ila siku izi naona dalili za kuwa amerudiana na Ex wake.
Maana mda wakurudi nyumbani akitoka kazin anapanda bodaboda ya uyo mjamaa hata umueleze vip anajifanya amekuelewa ila badae anarudia ivyo.
Nimeshaanza ona dalili za kutomuelewa maana anapiga sim mara nying na cha kwanza ananiuliza upo wapi ?
Nikimtajia eneo anajifanya kam alikuwa ananisalimia ukipiga sim inakuwa inatumia maximum unaweza kupiga sim saa11 jion adi saa2 usiku inatumika (Means ameniblock)
Ukimuuliza ulikuwa umeni block anasema Mara ooh nikiwa busy napenda kublock watu wote ili nifanye kazi kwanza?
Nahisi kama nitashindwana nae jamani
Naomba ushauri wa kufanya katika situation hii ya sasa kwa kweli " 🙏