Mpenzi wangu amenishawishi kula Nguruwe

Mpenzi wangu amenishawishi kula Nguruwe

Acha kukashfu dini wewe mke wa nne anaitwa janeth uliozeshwa na nani???? Ww.n muongo and this is another drama
 
Mimi ni mtu wa Makamo nina miaka 45 nimejaliwa NSSF nimejaliwa kuoa wake wanne, Hawa, sauda, salma, na Janeth.
mke wanne ni msomi kiasi Ana degree na hivi majuzi amehitimu CPA.
Kila Mke nimempa Nyumba. Huyu wa nne anakaa mikocheni B.
Mimi nampenda sana bi mdogo, wanasena kipya hakinyemi, kuna siku aliniandalia chakula akaniambia ni halamu but nikila siwezi kufa,
Kwa kuwa nampenda sana nikaonja kabla sijaamaliza kutafuna akaniambia ni Kitimoto. Nilishituka nikatema haraka nikamuangalia kwa hasira huku tukikutanisha macho kwa dakika kadhaa huku nikitetemeka.
Akavua nguo zote akaniambia "nifanye chochote lakini mapishi yangu ya Leo yameishia hapo"
Mara nikahisi kautamu kanakuja kwa mbali nikashushia na tonge la ugali.
Sasa Toka siku hiyo bila Kitimoto sipati raha.

Wake zangu watatu wamepata habari kuwa nalishwa Kitimoto na Janeth ndio maana kila siku nalala kwake! WanaJamii Forum nifanyeje kuokoa familia yangu?

Mimi usadhi maulid bashir

Sasa hiyo rahisi sana wewe nipe simu za hao wake zako wengine ili niwafundishe namna ya kukupa tigo ili uhamie kwao tena
 
Mod tunaomba huu uzi uindolewe huku ni kero tupu
 
Acha kukashfu dini wewe mke wa nne anaitwa janeth uliozeshwa na nani???? Ww.n muongo and this is another drama

Mimi BAN zote hua napataga kupitia watu kama hawa, ngoja nimtukane kwanza "MTOA MADA UNALIWA TIGO"
 
Haya kachukue kopo,mkacheze kombolela na usirudie kumaliza "bundle" la mama.Sawa mtoto mzuri?
 
Back
Top Bottom