Mpenzi wangu amenishawishi kula Nguruwe

Mpenzi wangu amenishawishi kula Nguruwe

Hizi forum sawa hatujuani, kila mtu anauhuru wa kuongea anachotaka, hakuna sharia, TCRA wamelala, lakini tukitumia namna hii inakua sio kabisa, bora ingekuwa chit-chrt flani poa, lakini hizi na mtu unaweza kuta kashavuka 18 huyu, wabongo tubadilike dunia inatuacha kwa huu ushamba ushamba wetu
 
Visa vingi ninavyoandika ni kwel so kama nimeudhi nisamehe. Hapa nina kisa kingine rafiki yangu anaiomba kazi msomi hasa. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread
 
Hizi forum sawa hatujuani, kila mtu anauhuru wa kuongea anachotaka, hakuna sharia, TCRA wamelala, lakini tukitumia namna hii inakua sio kabisa, bora ingekuwa chit-chrt flani poa, lakini hizi na mtu unaweza kuta kashavuka 18 huyu, wabongo tubadilike dunia inatuacha kwa huu ushamba ushamba wetu

Visa vingi ninavyoandika ni kwel so kama nimeudhi nisamehe. Hapa nina kisa kingine rafiki yangu anaiomba kazi msomi hasa. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread
 
Hawa wanawake bhana sasa ni km hadithi ya Adam na hawa yaani hawa watu wanajua weakness zetu nenda katubu km dini inakuruhusu.


Visa vingi ninavyoandika ni vya kweli haviusiani na mimi, na navipata katika pilikapilika za maisha, so kama nimeudhi nisamehe. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread
 
Tarehe 27 September mwaka huu ulikwa mwanaume wa miaka 30 leo tarehe 20 October umekwa mtu wa makamo kwa kufikisha miaka 45! Najaribu kukokotoa rate ya ukaji wako kwa sekunde hapa kwi kwi kwiii....Kajipange tena!


Visa vingi ninavyoandika ni vya kweli haviusiani na mimi, na navipata katika pilikapilika za maisha, so kama nimeudhi nisamehe. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread
 
Katika watu wasiojielewa wewe na ....... Wewe ni wa kwanza.


Visa vingi ninavyoandika ni vya kweli haviusiani na mimi, na navipata katika pilikapilika za maisha, so kama nimeudhi nisamehe. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread
 
Tarehe 27 September mwaka huu ulikwa mwanaume wa miaka 30 leo tarehe 20 October umekwa mtu wa makamo kwa kufikisha miaka 45! Najaribu kukokotoa rate ya ukaji wako kwa sekunde hapa kwi kwi kwiii....Kajipange tena!

"Kiti" Mtem.u kaharibu wengi jamani
 
Wewe siyo ustadhi wewe ni kafiri watu kama nyie kwetu mikwaju tu.. eti oooh mke wangu.
 
acha mbwembwe ustaadh anaoa mgalatia?

Mimi usadhi maulid bashir[/QUOTE]
 
Visa vingi ninavyoandika ni kwel so kama nimeudhi nisamehe. Hapa nina kisa kingine rafiki yangu anaiomba kazi msomi hasa. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread

kweli visa vimekutokea 27sptember ulikuwa na miaka 30 bila mke leo unamiaka 45 na wake wanne safi sana
 
Visa vingi ninavyoandika ni vya kweli haviusiani na mimi, na navipata katika pilikapilika za maisha, so kama nimeudhi nisamehe. Kama nimuudhi naomba mod afute hii thread

Kama hukuruka elimu ya msingi basi ni dhahiri ulifundishwa namna ya kuzungumzia nafsi tatu (mimi,wewe na yeye) Kusema tu mimi bila kuweka alama za kufungua na kufunga semi moja kwa moja mhusika mkuu ni wewe...kwa muktadha huu hizi story zako inabidi uwe unapima unawalenga watu wa aina gani!
 
Back
Top Bottom