Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,518
- 1,046
Tarehe 27 September mwaka huu ulikwa mwanaume wa miaka 30 leo tarehe 20 October umekwa mtu wa makamo kwa kufikisha miaka 45! Najaribu kukokotoa rate ya ukaji wako kwa sekunde hapa kwi kwi kwiii....Kajipange tena!
Lundenga growth rate...!!