chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 841
Hii imekaaje wakuu Kuna pisi yangu moja hivi kila baada ya kuinyadua inaomba maji ya kunywa hata Kama hapo chumbani hakuna maji atakuomba ukamtaftie maji ulete anywe ndo show iendelee round nyingne mkishamaliza pia iyo round atakuomba maji Tena.
nishajaribu kumuliza kwanini kila baada ya tukinyaduana unaomba maji majibu yake anadai huwa ni Hali t inamtokea ya kujikuta anahitaj maji ya kunywa na kupelekea kuhisi kiu ya maji.
Ndio najiuliza kila siku jamani, so katika mastor ya hapa na pale kwa Hawa wanawake nishaskia pia wengi wao hunywa maji baada ya sex kwaajili ya kuvuruga mbegu za uzazi ili zisitungishe mimba Jambo ambalo niligundua halina ukweli kuhusu kunywa maji baada ya tendo kunasaidia usipate mimba.
Halafu pia ye maji unywa katika kipindi chote siyo tu kipindi cha siku za hatari Bali hata siku salama ambazo ndo za mnyaduano huru no hofu za mimba lakini bado anaomba maji Ayo so poa
Sasa kila nikipanga kunyaduana nae maji pembeni Lita zangu naandaa, siku nikisahau kuandaamaji af ni kaduu nae then utaskia babe naomba maji nikimwambi maji leo hamna atalalamika San
So hii imekaaje kupiga show hadi mtoto anaomba maji ndo kipimo tosha kuwa hapa mtoto nimewin kumsugua karidhika, kaenjoy au ni Hali t ya Hawa viumbe nisijipe kichwa saaana kwamba napiga show Hadi mtoto anaomba maji
nishajaribu kumuliza kwanini kila baada ya tukinyaduana unaomba maji majibu yake anadai huwa ni Hali t inamtokea ya kujikuta anahitaj maji ya kunywa na kupelekea kuhisi kiu ya maji.
Ndio najiuliza kila siku jamani, so katika mastor ya hapa na pale kwa Hawa wanawake nishaskia pia wengi wao hunywa maji baada ya sex kwaajili ya kuvuruga mbegu za uzazi ili zisitungishe mimba Jambo ambalo niligundua halina ukweli kuhusu kunywa maji baada ya tendo kunasaidia usipate mimba.
Halafu pia ye maji unywa katika kipindi chote siyo tu kipindi cha siku za hatari Bali hata siku salama ambazo ndo za mnyaduano huru no hofu za mimba lakini bado anaomba maji Ayo so poa
Sasa kila nikipanga kunyaduana nae maji pembeni Lita zangu naandaa, siku nikisahau kuandaamaji af ni kaduu nae then utaskia babe naomba maji nikimwambi maji leo hamna atalalamika San
So hii imekaaje kupiga show hadi mtoto anaomba maji ndo kipimo tosha kuwa hapa mtoto nimewin kumsugua karidhika, kaenjoy au ni Hali t ya Hawa viumbe nisijipe kichwa saaana kwamba napiga show Hadi mtoto anaomba maji