kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,059
- 3,646
Wakuu kwema?
Huwa najiuliza sana mfano imetokea umekuwa na mahusiano na mwanamke halafu baada ya wiki akaja kwako kulala halafu asubuhi unamuamsha unataka uingie mishe mishe unashangaa haamki, unamtikisa unaona hatikisiki, unammwagia maji haamki. Unahamaki kuona anatokwa povu mdomoni, unamgusa unakuta wabaridi
Unagusa kifuani unashtuka mapigo ya moyo hayadundi. Je, utatoka nje uwajuze majirani? Wataamini vipi kama ni bahati mbaya
Je, utatoroka?? Hapa utakuwa umejivua utu na itaonekana kama ulikusudia
Ukibaki tena ni msala tena msala kwelikweli
Je, utafanyaje??
Huwa najiuliza sana mfano imetokea umekuwa na mahusiano na mwanamke halafu baada ya wiki akaja kwako kulala halafu asubuhi unamuamsha unataka uingie mishe mishe unashangaa haamki, unamtikisa unaona hatikisiki, unammwagia maji haamki. Unahamaki kuona anatokwa povu mdomoni, unamgusa unakuta wabaridi
Unagusa kifuani unashtuka mapigo ya moyo hayadundi. Je, utatoka nje uwajuze majirani? Wataamini vipi kama ni bahati mbaya
Je, utatoroka?? Hapa utakuwa umejivua utu na itaonekana kama ulikusudia
Ukibaki tena ni msala tena msala kwelikweli
Je, utafanyaje??