Mpenzi wa rafiki yangu ananipenda

Mpenzi wa rafiki yangu ananipenda

Ivi kwanini Hujipendi? Mwanamke akianza kukutongoza hasa wa rafiki yako ujue amekuona wewe tule tugawe,na bila hiyana wana aibu unasema unakaribia kumpenda ivi wewe ni rafiki wa kweli? ebu jipatilize usijitoe fahamu,ebu ukiwa peke yako
fikiria au kuku rahisishia mawazo vuta picha rafiki yako ana kuchukulia demu wako utajisikiaje? jibu unalo wenyewe..
Nipende mimi leo umesema kweliiiii.
 
Ukiona mpaka dume zima unatongozwa na mtoto wa kike,basi una matatizo makubwa sana..sio jambo la kujisifia,ulitakiwa ukae mahali ujitafakari.kwa kifupi huyo manzi kakuona ka hanisi au shoga flani hivi.pathetic
 
I have been there. Boss achana na huyo manzi..
 
Hakuna kitu kibaya kama hicho...nakumbuka kipindi nipo 1st Year Udsm kuna mshikaji wangu kitaa alikuwa na Gf wake alikuwa six basi nikawa namshauri jinsi ya kusoma na nini anatakiwa kufanya ikafika kipindi yule Gf wa best yangu akanichengia anataka kuwa na mimi.kutoka na msingi niliyofundishwa seminary nikamwambia rafiki yangu ni sehemu ya ndugu yangu hicho kitu hakiwezi kutokea basi ikabidi nimwambie best yangu kwamba kuna A,B,C,D basi baada ya muda kutokana na msimamo wangu msichana akamwambia kwamba Mr X ananitaka wakati jamaa nilishamwambia kabla basi best yangu akanibadilikia mbaya.nikamwambia mshikaji sisi wanaume nikikufanyia kitu kama hicho wewe baada ya muda na mimi kinaweza kunitokea halafu sijakulia kwenye misingi hiyo...nikapiga kimya hakuna kuwasiliana na mshikaji wala Gf wake baada ya muda akaja kuniomba msamaha baada ya kujua ukweli..kwenye maisha lazima rafiki umchukulie kama sehemu ya familia lakini unapoweka tamaa za muda mfupi madhara ni makubwa sana na kwenye maisha unaweza kuja kuta rafiki yako anakusaidia kuliko ndugu yako..mimi ni muumini sana wa true friendship
 
mwambie rafiki yako ??
think before you act. you have done if you treated your partner you will feel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom