Mpenzi wa rafiki yangu ananipenda

Mpenzi wa rafiki yangu ananipenda

jinga sana....
mwanaume mzima unataka kujifanya cheap
mpaaaaaafu thaana(kinyambe's voice)(r.i.p)
 
unamtamani na siokumpenda.....we amua moja kati ya haya...1.potezea au 2. piga show kimya kimya
 
Kamseme kwa wazazi wako, asikuletee ujinga kabisa.... Kamseme mwayego
 
Bunge halioneshwi live kwasababu ya hapa kazi tu. Sasa naona jf karibuni itafungwa kwa uzi wa kijinga kama hii.
 
Mshikaji demu wakooooo, ananitaka...

Mshikaji demu wakooooo, anachemka...

Kila akinionaa, ananiita ita...

Jamani mbona huyu demu hajatulia...
 
Rafiki wa kweli hana tofauti na ndugu yako na wapo wengine wanakuwa kabisa ndugu kama unawaza kutembea na demu/msichana wa rafiki yako ina maana hapo hakuna urafiki bali unafiki rafiki ni yule mnacheka/ kulia pamoja
 
Principle yangu ya kwanza,sitembei na demu wala mke wa rafiki yangu wa ukweli.Never!
 
"...When dealing with people, remember you are not dealing with creatures of logic, but creatures of emotion..."

Naona mihemuko inakupeleka vibaya.
 
Nina uhakika umemtamani lakin haujampenda..piga fasta then acha mzoga.
 
habarini...natongozwa na demu wa rafiki yangu sana...naona nakaribia kumpenda the same...itakuaje jamaa akijua? au nimchunie?

Kwani huna namba za huyo jamaa yake? Mtumie ule wimbo wa Suma G kwa WhatsApp.

Wimbo unaitwa : DEMU WAKO ANANITAKA
 
habarini...natongozwa na demu wa rafiki yangu sana...naona nakaribia kumpenda the same...itakuaje jamaa akijua? au nimchunie?
mkuu kama hujaanza tafuna acha kabisa usifanye hilo jambo,kaa mbali kabisa..........jiepushe na tamaa
 
habarini...natongozwa na demu wa rafiki yangu sana...naona nakaribia kumpenda the same...itakuaje jamaa akijua? au nimchunie?
We endelea mpaka umfunue kunako lakinio kumbuka wewe UTAFUMULIWA MARINDA halafu PAMPERS zitakuhusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom