kwan huyo kakaako yuko wapi? Mtu kakutambulisha kwao, mamako kamjua kama dem wako, anakutumia pcha za x, haishi chumban kwako nk nk. Sasa kaka yuko wapi hajagundua pamoja na mambo yote haya? Kama ni story ya kweli basi inaonekana kaka yako hayuko karibu nae na atamegewa tu kama ndo hvyo. Hata kama si wewe atamegewa na wengne