the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,754
- 836
best the american dream unaongea nini tena? kuna tofauti ya kuomba na kupiga mizinga. wewe kila siku huna aaahh halafu kujenga kwake kunakihusu nini?? gangamala kiume
Since i know her that was my first time namuomba msaada,kama kusaidiwa na rafiki sio vizuri whats the meaning of friendship na namsubiri kwaa kwel!,nyumba mi wala sina tatizo nayo ni ya kwake nilisema nikirefer kuwa economically she is well tofauti na mimi lakini its ok muda utaongea.
Last edited by a moderator: