Mpenzi unaempenda anapokusumbua unafanyaje?

maalim ni vitu gani unavyoona ni usumbufu kwako????
 
maalim ni vitu gani unavyoona ni usumbufu kwako????
<br />
<br />
1-Kutaka penzi kila siku.
2-ukimya.
3-Kujua zaidi bila kusikiliza hujja.
4-Kutofuata taratib za deen/iman. Pande zote mbili.
5-....................
6-.....................
 
<br />
<br />
1-Kutaka penzi kila siku.
2-ukimya.
3-Kujua zaidi bila kusikiliza hujja.
4-Kutofuata taratib za deen/iman. Pande zote mbili.
5-....................
6-.....................
  1. ni suala la muda tu na inawezekana labda hupigi mikito ya kutosha unamwacha na hamu ndo maana anahitaji kila siku ..
  2. unatakiwa wewe na yeye muweze kuongea na hii inatokana na tabia na hulka zenu
  3. inaonekana hujiamini katika kutoa hoja zako ndo maana anakuwahi kujua kabla yako au kabla hujafikia tamati unayotaka kusema
  4. inatakiwa usimamie kwenye dini na umpe muongozo
  5. ------------
  6. -----------------
 
Mapenzi ni kitu kingine,utasema unajitoa kwenye mapenzi but utarudi tu mda wowote,cha msingi kama tatizo linatatulika kaa tu chini na waza mara mbili,maana kwa mtindo huo we kila siku utakuwa wa kuumia tu
 
<ol class="decimal"><li>ni suala la muda tu na inawezekana labda hupigi mikito ya kutosha unamwacha na hamu ndo maana anahitaji kila siku ..</li><li>unatakiwa wewe na yeye muweze kuongea na hii inatokana na tabia na hulka zenu</li><li>inaonekana hujiamini katika kutoa hoja zako ndo maana anakuwahi kujua kabla yako au kabla hujafikia tamati unayotaka kusema</li><li>inatakiwa usimamie kwenye dini na umpe muongozo</li><li>------------</li><li>-----------------</li></ol>
<br />
<br />
2- nmecheka hapo!
Unajua mambo mengine bana! Hadi niseme? Kazi hapo ipo/naitumia kiasi chake.
Kama ni hilo usijarib kama wewe ni m/ke hutansahau. Unaweza kumwacha m/me wako!.
Situmii chochote ni utaalam.
Nisaidie na hili:ikiwa mpenzi anakusumbua unafanyaje? Unajitahid kumwelewesha kama maelekezo yako mazuri lakin anakua hakuelewi..wafanyaje?
 
Mapenzi ni kitu kingine,utasema unajitoa kwenye mapenzi but utarudi tu mda wowote,cha msingi kama tatizo linatatulika kaa tu chini na waza mara mbili,maana kwa mtindo huo we kila siku utakuwa wa kuumia tu
<br />
<br />
Umegundua mapema?
Au nawe yalishakukuta enzi hizo?
 
mi mme

<br />
<br />
2- nmecheka hapo!
Unajua mambo mengine bana! Hadi niseme? Kazi hapo ipo/naitumia kiasi chake.
Kama ni hilo usijarib kama wewe ni m/ke hutansahau. Unaweza kumwacha m/me wako!.
Situmii chochote ni utaalam.
Nisaidie na hili:ikiwa mpenzi anakusumbua unafanyaje? Unajitahid kumwelewesha kama maelekezo yako mazuri lakin anakua hakuelewi..wafanyaje?

kumwelewesha mtu hakuhitaji haraka ...
  1. unatakiwa ujue ni wakati gani wa kuongea naye na ni kitu kipi
  2. wakati gani ana furaha au huzuni
  3. kila jambo lina sehemu yake ya kuongelea kulingana na umuhimu unaloupa
 
Back
Top Bottom