Haya si makusudi jamani, sipo nyumbani wiki nzima, nikija nakaa siku 2 naondoka kazini, nakupigia simu unaniambia njoo nimekumiss kweli Baby, tukifika chumbani unaanza mashairi, kwani huwezi kulala hivihivi "mie leo hata sijisikii kabisa kha!
ukiona manyoya jua kaisha liwaaaaaaaaaaaaaaaaa, yupo mkoa gani kama ni DAR andika maumivu wananaume wa dar kupigana hawawez ila kuchezea vi.......................si....................... mwa vya wake za watu ndo zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.