Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Mkono wa dhahabu vidole vya almasi...pesa tupu!! Waambile wasikile hao....
Last edited by a moderator:
Dah haya mambo ndo nyenyewe FL na hawa jamaa wanaenda vizuri hadi rahaNyani Ngabu na haya mambo wapi na wapi broda
Dah haya mambo ndo nyenyewe FL na hawa jamaa wanaenda vizuri hadi raha
ebu kaka mkuu nambie iyo utube inasemaje...um jf mobiler aitheee!..
hauko peke yako lol
ebu kaka mkuu nambie iyo utube inasemaje...um jf mobiler aitheee!..
Mi nikijaandaa walau nikuulizie Bagah , kulikoni U Tube ?
Ile hadithi ya wote mko ndani ya Segerea/Isanga , kisha mkasikia mlio wa kwato nje ya compound ! Mmojawenu akauliza "huyo anaepita nje afande nani ?"
ingejirudia hapa.
Hii inaonyesha live show ya mzee Yusuph....ebu kaka mkuu nambie iyo utube inasemaje...um jf mobiler aitheee!..
Hahahaaaa nimewaidia kwa hapo juu....angalia mkuuMi nikijaandaa walau nikuulizie Bagah , kulikoni U Tube ?
Ile hadithi ya wote mko ndani ya Segerea/Isanga , kisha mkasikia mlio wa kwato nje ya compound ! Mmojawenu akauliza "huyo anaepita nje afande nani ?"
ingejirudia hapa.
Jaribu kupanda level hata kidogo.....tupa hiyo simu aisee maana haiko na karne ya 22kiufupi wanatutesa na U-tube zao bana!
Nyani Ngabu na haya mambo wapi na wapi broda
Yah ila badilisheni vitochi vyenuhauko peke yako lol
Hahahaaaa nimewaidia kwa hapo juu....angalia mkuu
Kumbe humjui vizuri, ngoja waje na wengine utashangaaNyani Ngabu na haya mambo wapi na wapi broda
Umeona enheee?hauko peke yako lol