Achana na huyo mwanaume. Atakuumiza tena.
Mwanamke kama ulimuacha mwanaume, kurudiana nae tena unatafta matatizo.
Utashika mimba yake alafu abaki kukuzodoa kua huna jipya ulikosa soko ndio maana umerudi kwake. Utapoteza thamani yako. Pamoja na hilo hakuna mwanaume anaekataa K zinazojileta zenyewe hata kama hakuhitaji tena.
Hapo hakuna muoaji.
Kwa nini unahofu kua anataka kulipa kisasi? Ulimfanyaje?
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa wanawake. Ukimuacha mwanaume kwa sababu yoyote ile usirudiane nae, ukirudiana nae kwake unakua umekosa thamani, maana anakuona kama mtu uliekosa soko huko umerudi.