Mpenzi anafanyiwa maamuzi na mashoga zake

Mpenzi anafanyiwa maamuzi na mashoga zake

Pole sana mkuu bado hajajitambua mpe muda lkn kama unaona inafaa zingumza naye sababu hiyo tabia wanayo mabinti wengi ambao hawajitambua akimuamini mtu fulani basi anaona chochote atakachomshauri ni sawa bila kujali kuwa na wao wana mapungufu yao na wana mahusiano yao
 
X
Dawa ni kuwaomba papuchi hao mashoga zake afu unakula mzigo then unaachana nao
 
mmoja ni mke wa MTU na yuko Kwenye ndoa. mwingine ndoa yake ilisha mshinda. Kibaya zaidi ufahamu wao ni mdogo sana

Kazi unayo. Hao ndio washauri? Mkalishe chini umweleweshe kuwa hatuendi hivyo na ajifunze kuwa na akili ya kujitegemea.Kufuatafuata mashoga kwa ushauri hata wa vitu vidogo, ni dalili ya kutokukomaa kwa fikra za huyo mhusika, mwanamke anatakiwa kukomaa kifikra na kimaamuzi. Mwanamke wa aina hiyo, Siku ukisafiri hata kwa wiki 2 utakuta wamemtafutia bwana na utakuta ombi la talaka.
 
Nikajua ni hawa mashoga OG! Nilitaka kukuambia hawana madhara,si unajua ni mijoka isiyouma?
 
Mwache uzoee mana ipo siku utakerwa then umpigeee! afu uue itakuwa kesi nyingine.
 
Ungeweza ungeanza watongoza 'hao wanamshikia akili'
itasaidia kumuonesha walivyo
 
duh ni tabia mbaya ya baadhi ya mabinti ambayo mimi huwa naiitaga ya kipuuzi kwa sababu lazima atakuwa bias katika kuwaeleza mashoga zake na hata ushauri utakao toka upo bias pia ni kosa kubwa sana....

lakini cha kufanya ni kumwambia huyo mpenzi wako achague wewe au mashoga zake .. na pia mwambie ni marufuku kumuona na hao marafiki zake/... na akiendelea uwamuzi ni kumwacha aendelee na marafiki zake....

wanawake wa chache sana wanao weza toa ushuri wa ukweli kuhusu mahusiano wengi wao ni wanafki
 
duh ni tabia mbaya ya baadhi ya mabinti ambayo mimi huwa naiitaga ya kipuuzi kwa sababu lazima atakuwa bias katika kuwaeleza mashoga zake na hata ushauri utakao toka upo bias pia ni kosa kubwa sana....

lakini cha kufanya ni kumwambia huyo mpenzi wako achague wewe au mashoga zake .. na pia mwambie ni marufuku kumuona na hao marafiki zake/... na akiendelea uwamuzi ni kumwacha aendelee na marafiki zake....

wanawake wa chache sana wanao weza toa ushuri wa ukweli kuhusu mahusiano wengi wao ni wanafki

Heeee...taratibu bhas wameskia
 
Hao mashoga zake wasije kukurushia ndege wako.

Badilisha mfumo wa maisha
 
Mchunie ka wiki mbili hivi !! At your own risk!! Tyee!!
 
Back
Top Bottom