Mpenzi amefumania message za mapenzi

Mpenzi amefumania message za mapenzi

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.
Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message zamwanamke mwingine ambazo zilikuwa zamuda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message zamsamaha anaziangalia tuu hajibu mpka nimechoka sasa, nampenda sana.
ushauli wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba yake nijaribu kumbembeleza taratibu
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo huna pesa ndo maana umeachwa we unadhani alivyoziona ungemchapa 500k hapo ungeona anatabasamu huku chozi likimlengalenga na angekula mgege yangeishia kitandani, tafuta pesa ndio heshima ya mwanaume kwa mke
 
Nakwambia hivi hakuna mwanamke ambaye anamuacha mpenzi mwenye pesa, wengi wao huomba usiku kucha mchana kutwa amuoe hafu akishazaa nae ndo aaneze vurugu za kuachana maana anajua watoto wanamlinda mwenye kugawana mali, nimeshuhudia mambo mengi sana, wanawake wenye mapenzi ya dhati 0.01 ya wote duniani
 
Nakwambia hivi hakuna mwanamke ambaye anamuacha mpenzi mwenye pesa, wengi wao huomba usiku kucha mchana kutwa amuoe hafu akishazaa nae ndo aaneze vurugu za kuachana maana anajua watoto wanamlinda mwenye kugawana mali, nimeshuhudia mambo mengi sana, wanawake wenye mapenzi ya dhati 0.01 ya wote duniani
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukuru amekuepusha na corona yupo karantini huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo huna pesa ndo maana umeachwa we unadhani alivyoziona ungemchapa 500k hapo ungeona anatabasamu huku chozi likimlengalenga na angekula mgege yangeishia kitandani, tafuta pesa ndio heshima ya mwanaume kwa mke
tatizo sio k500 mkuu hata kwao pesa sio shida kwaiyo kwake anaziona kawaida na anawivu mkali sana kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom